JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa anaamini katika uwezo wa nyota wa Simba, Said Ndemla licha ya kwamba hajamuona kwa muda mrefu.
Abdul amesema kuwa miongoni mwa wachezaji ambao amekuwa akiwafurahia wawapo ndani ya uwanja ni pamoja na Ndemla.
“Ni mchezaji mzuri akiwa ndani ya uwanja anajituma na uwezo wake ni mzuri, kwa sasa sijamuona akiwa ndani ya uwanja kwa muda mrefu ila nina amini akipata nafasi atafanya vizuri,” amesema.
Ndemla amekuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na ushindani wa namba ndani ya kikosi cha Simba kwenye mzunguko wa pili Simba ikiwa imecheza mechi tisa hajacheza mchezo wowote.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.