BAO la Mbwana Samatta anahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga ndani ya Aston Villa alilofunga November 5, 2019 Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Liverpool limechaguliwa kuwa bao la mwaka ndani ya Klabu yake ya KRC Genk.
Samatta alifunga bao hilo wakati akikipiga ndani ya KRC Genk goli la kusawazisha wakati wakiwa nyumba kwa bao 1-0.
Mchezo huo ulikamilika kwa timu yake kupokea kichapo cha mabao 2-1.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.