Home Uncategorized LIGI KUU BARA KUREJEA MWEZI JUNI, KUCHEZWA BILA MASHABIKI

LIGI KUU BARA KUREJEA MWEZI JUNI, KUCHEZWA BILA MASHABIKI


ALMAS Kasongo, Mtendaji Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) amesema kuwa wanakwenda kuifanyia kazi kauli ya Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli.


Jana, Aprili 3, Magufuli alisema kuwa anafikiria kurejesha ligi za Tanzania ambazo zilisimamishwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona.

 Kasongo amesema Kamati ya Uongozi ya TFF imeazimia kuwa ligi iendelee kulingana na maelekezo ya Serikali na mechi zitachezwa bila mashabiki kuanzia mwezi Juni mwaka huu.


SOMA NA HII  COASTAL UNION YAAMBULIA POINTI TATU KWA MARA YA KWANZA VPL