Home Uncategorized BREAKING: RATIBA YA LIGI KUU BARA, NI YANGA V MWADUI, VIPORO

BREAKING: RATIBA YA LIGI KUU BARA, NI YANGA V MWADUI, VIPORO


ILE burudani ya soka inatarajiwa kuanza kutimua vumbi, Juni 13, ambapo mechi za ufunguzi zitakuwa ni viporo vilivyobaki kabla ya janga la Virusi vya Corona.

Hizi hapa zitaanza Juni 13

 Mwadui FC  V Yanga, Uwanja wa Kambarage.

Coastal Union v Namungo FC, Uwanja wa  Mkwakwani.

SOMA NA HII  LIPULI YAACHANA NA ISHU YA SIMBA,NGUVU ZAO ZIPO HUKU