NAHODHA wa Simba, John Bocco alikuwa wa kwanza kufunga bao kwenye Uwanja wa zamani wa Azam Complex Chamazi, Agosti 20,2011 mbele ya Moro United.
Bocco alifunga bao hilo kwa penati dakika ya 45, baada ya Bocco mwenyewe kufanyiwa madhambi ndani ya eneo la hatari.
Bao la kwanza kwenye uwanja mpya wa Azam Complex, Chamazi, limefungwa na Richard Djodi ambaye amerithi mikoba ya Bocco ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya Simba ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Mbao FC.
Ni katika mchezo wa kwanza wa ligi baada ya mapumziko ya miezi mitatu ya Corona, uliochezwa Juni 14, Azam FC ikishinda mabao 2-0.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.