Home Uncategorized TIMU 14 LEO KUSAKA POINTI TATU NDANI YA UWANJA

TIMU 14 LEO KUSAKA POINTI TATU NDANI YA UWANJA


LEO uhondo wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaendelea ambapo timu 14 zitakuwa kwenye viwanja saba tofauti kusaka pointi tatu muhimu.

Mechi za leo Juni 20 zitakuwa namna hii:-

JKT Tanzania v Singida United, Jamhuri.

Ndanda v Biashara United, Nagwanda.


Namungo v Kagera Sugar, Majaliwa.

Coastal Union v Mtibwa Sugar, Mkwakwani.

Polisi Tanzania v Lipuli, Ushirika.

KMC v Ruvu Shooting, Uhuru.

Simba v Mwadui, Taifa.


Mechi zote zitapigwa majira ya saa 10:00 jioni

SOMA NA HII  NEYMAR AAMBULIA KADI NYEKUNDU TIMU YAKE IKICHAPWA BAO 1-0