LEO Oktoba 31 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi ambapo mechi nne zitachezwa kwa timu nane kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.
Tanzania Prisons v Polisi Tanzania, Uwanja wa Nelson Mandela, saa 8:00 mchana
Namungo FC v Dodoma Jiji, Uwanja wa Majaliwa, saa 10:00 jioni.
Biashara United v Yanga, Uwanja wa Karume, saa 10:00 jioni.
Simba v Mwadui,saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.