Home Uncategorized RATIBA YA VPL LEO NI JAMHURI, DODOMA

RATIBA YA VPL LEO NI JAMHURI, DODOMA


LEO Oktoba 16 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo mchezo mmoja utachezwa kwa timu mbili kusakapointi tatu muhimu.

 Dodoma Jiji FC itawakaribisha  Mbeya City Uwanja wa Jamhuri Dodoma saa 10:00.


Dodoma Jiji ipo nafasi ya saba kwenye msimamo baada ya kucheza mechi tano na mchezo wake wa kwanza dhidi ya Mwadui FC msimu wa 2020/21 ilishinda bao 1-0.


Imekuwa na matokeo chanya Uwanja wa nyumbani jambo linaloongeza ugumu kwa Mbeya City ambayo imekuwa kwenye mwendo wa kusuasua kwa msimu wa 2020/21.


Kwenye msimamo ipo nafasi ya 18 ikiwa na pointi moja baada ya kucheza mechi tano za ligi.


SOMA NA HII  MSOME BENZEMA MFALME WA REAL MADRID