MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi 2021 Yanga wamerejea leo Bongo wakitokea Zanzibar baada ya kushinda mbele ya watani zao wa jadi Simba kwa ushindi wa penalti 4-3 baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya bila kufungana. Mapokezi yao leo yapo namna hii:-