Home Ligi Kuu HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO


 HATIMAYE baada ya mchezo wa ufunguzi wa Ngao ya Jamii kati ya Simba v Yanga kukamilika sasa leo Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza rasmi kutimua vumbi.

Ikumbukwe kwamba ubao wa Uwanja wa Mkapa, Septemba 25 ulisoma Simba 0-1 Yanga baada ya dakika 90 kukamilika ambapo ni bao la Fiston Mayele alipachika dk 10 lilikuwa ni bao la ushindi.

Leo Septemba 27 ratiba ipo namna hii:-

Mtibwa Sugar v Mbeya Kwanza itakuwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

Namungo v Geita, Uwanja wa Ilulu.

Coastal Union v Azam FC, Mkwakwani.

SOMA NA HII  MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA