admin
NJAA ALIYONAYO KAGERE, IINGIE KWENU ILI MPIGANIE MAFANIKIO
Na Saleh AllyWIKIENDI hii msimu mpya wa 2019/20, utaanza rasmi katika sehemu mbalimbali duniani. Tunaanza kuona mpira wa ushindani na kujifunza mengi wakati tukiburudika.Wakati...
CHONDE YANGA HAWA TOWNSHIP ROLLERS SI WATU WA KUBEZA HATA KIDOGO
NA SALEH ALLYKESHO Yanga watakuwa kazini kuwawakilisha Wanayanga na Watanzania katika mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Township Rollers kutoka nchini Botswana.Rollers si...
MAGUIRE, POGBA KUIVAA CHELSEA JUMAPILI
MANCHESTER United imethibitisha kuwa nyota wao mpya Harry Maguire na kiungo wao fundi, Paul Pogba wataanza kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu England...
MABINGWA SIMBA WAANZA KUWATISHA UD do SONGO, KUPIGA MAZOEZI YA MWISHO...
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wameshatia timu nchini Msumbuji kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mwisho ya mchezo wao wa...
MAANDALIZI NDANI YA SINGIDA UNITED YAMEPAMBA MOTO
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa kwa sasa unaendelea na maandalizi ya nguvu kuelekea msimu ujao.Singida United imejichimbia Singida kwa sasa kwa maandalizi ya...
WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA WANYAKA MAFAILI YANGA WANA KAZI YA ZIADA...
WAPINZANI wa Yanga kimataifa timu ya Township Rollers wameanza kuwasomea ramani wapinzani wao Yanga kabla ya kesho kwa kuiba mbinu zao kabla ya kukutana...
LIPULI YAPANIA KUFANYA MAAJABU MSIMU UJAO
UONGOZI wa Lipuli umesema kuwa msimu ujao umejipanga kufanya maajabu kwa kupata matokeo chanya.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Lipuli Clement Sanga amesema...
SIMBA YAWAZUIA MASHABIKI KUIZOMEA YANGA, HAYA NDIO MAAMUZI YA UONGOZI KIMATAIFA
KUELEKEA kwenye michezo ya kiamataifa ambayo inatarajia kuanza kesho kwa timu nne za Tanzania kupeperusha Bendera ya Kimataifa, Uongozi wa Simba umewazuia mashabiki wa...
WAPINZANI WA LIVERPOOL LEO WAGOMA KUPAKI BASI
DANIEL Farke, bosi wa Norwich City leo amesema kuwa ana kazi ngumu leo mbele ya Liverpool kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu England...
HAWA HAPA NANE WAMEBAKI BONGO WAKATI SIMBA IKIKWEA PIPA KUWAFUATA WAPINZANI...
HAWA hapa nyota nane wa Simba wamebaki Bongo wakati kikosi kikwea pipa leo kuelekea Msumbiji:-Said NdemlaYusuf MlipiliKennedy JumaAishi ManulaWilker da Silver.Ibrahim AjibHaruna ShamteMiraj Athuman