admin
NYOTA HUYU AANDALIWA KUWA MRITHI WA DAVID SILVA NDANI YA MANCHESTER...
PHIL Foden, kiungo mshambulijaji ni miongoni mwa nyota wenye kipaji cha hali ya juu ambacho wapo nacho kati ya wachezaji vijana ambao wanakipiga Ligi...
SIMBA IPO BIZE NA MCHAKATO WA KUIREJESHA MIKONONI MWA WATU, KILA...
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba, Mohammed Dewj 'Mo' amesema kuwa anapenda kuona timu ya Simba inafikia hatua kubwa ya mafanikio kitaifa...
POLISI TANZANIA: MSIMU UJAO MAMBO YATAKUWA MOTO, MDHAMINI MKUU PASUA KICHWA
SELEMAN Matola, Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindani msimu ujao utakuwa mgumu kutokana na timu zote kujipanga kwa ushindani.Matola amesema kuwa kila kitu...
SportPesa, SIMBA YATOA VIFAA KWA MICHEZO KWA TIMU TATU BONGO
KAMPUNI ya SportPesa kwa kushirikiana na Simba SC leo imetembelea baadhi ya vituo vya soka na kugawa vifaa vya michezo kwa timu.Jumla ya vituo...
MORGAN GIGGS-WHITES KINDA WA WOLVES ANAYETUMAINIWA KUFANYA MAAJABU
KIUNGO wa Wolves, Morgan Gibbs-Whites msimu uliopita alikuwa kwenye maandalizi kwa ajili ya msimu ujao unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 9.Kinda huyo anayekipiga Wolves...
YANGA YAINGIA ANGA ZA SIMBA ISHU YA MAVAZI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama Kocha Mkuu wa Simba ataamua kuendelea kuvaa mavazi meupe hawezi kumshangaa kwani ni maamuzi yake.Patrick...
AZAM FC YAWAPNGA MKWARA MZITO FASIL KENEMA
AZAM FC, mabingwa wa kombe la Shirikisho wametia timu nchini Ethioppia tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Fasil Kenema.Mchezo wa kwanza Azam...
MBELGIJI WA SIMBA ATOA NEO KWA MASTAA WAKE, YANGA KUMENOGA, KESHO...
KESHO mambo ni moto ndani ya Gazeti la SPOTIXTRA Alhamis.
WANNE KMC WA KIMATAIFA KUIKOSA AS KIGALI, KISA CAF
KIKOSI cha KMC kesho kinatarajia kukwea pipa kielekea nchini Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kimataifa dhidi ya AS Kigali.KMC itacheza mchezo wake wa...
NYOTA MPYA WA YANGA, RAIA WA RWANDA ATUMIKA KWENYE UTAPELI, AFUNGULIWA...
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mnyarwanda, Issa Bigirimana ‘Walcott’ amekiona cha moto baada ya ‘wahuni’ kufanya utapeli kwa kutumia akaunti yake.Mnyarwanda huyo ni kati...