Home Authors Posts by admin

admin

24376 POSTS 9 COMMENTS

WATATU WA KIKOSI CHA KWANZA KUBAKI BONGO SIMBA IKIKWEA PIPA KUWAFUATA...

0
IMEELEZWA kuwa nyota watatu wa kikosi cha kwanza wa timu ya Simba watabaki Bongo wakati timu ikikwea pipa kuelekea nchini Msumbiji kuivaa UD Songo.Simba...

BAADA YA JANA KUSHUSHA DOZI YA 4G, YANGA KAZINI TENA LEO

0
BAADA ya Jana kikosi cha Mabingwa wa Kihistoria Yanga kushusha kichapo cha 4 g mbele ya Mlandege visiwani Zanzibar leo wana kazi nyingine tena...

LUKAKU WA MANCHESTER UNITED KUIBUKIA MILAN

0
ROMELU Lukaku amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United mpaka Iter Milan.Milan inayoshiriki Serie A imeweka mezani mkwanja wa pauni Milioni 72 ili kukamilisha dili...

CHELSEA YAKUBALI KUMUACHIA NYOTA WAO LUZ KWA HASARA KUTUA ARSENAL

0
ARSENAL inatakiwa ivunje kibubu na kuweka mezani dau la pauni milioni 12 Kwa Chelsea ili kumpata nyota David Luiz.Beki huyo raia wa Brazil amewaambia...

AZAM FC YAPANIA KUFANYA MAAJABU KWA WAETHIOPIA JUMAPILI

0
KIKOSI cha mabingwa wa kombe la Shirikisho Azam FC kimepania kufanya maajabu kwenye mchezo wao utakaochezwa Jumapili nchini Ethiopia dhidi ya Fasil Kenema.SAzam FC...

MABOSI MANCHESTER CITY WAKUBALIANA KUMPA NAMBA MPYA NYOTA WAO MPYA

0
MABOSI wa Manchester City wamethibitisha kwamba nyota mpya aliyejiunga nao kwa ajili ya msimu ujao atatumia jezi namba 27.Joao Cancelo amekamilisha usajili wake ndani...

WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA KUTUA BONGO LEO

0
WAPINZANI wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali unaotarajiwa kuchezwa Agosti 10 uwanja wa Taifa Township Rollers wanatarajia kutua Bongo leo.Yanga itakuwa mwenyeji kwenye...

TANZANITE: TUNAWANYOOSHA AFRIKA KUSINI LEO

0
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' amesema kuwa kikosi kipo sawa kwa ajili ya mchezo...

KAPOMBE: NIMERUDI SASA NI KAZI JUU YA KAZI KITAIFA NA KIMATAIFA

0
SHOMARI Kapombe, beki wa Simba amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anaimani ya kufanya vizuri ndani ya Simba kwenye michuano ya kitaifa na...

YANGA: TOWSHIP ROLLERS WETU KABISA, MASHABIKI WATUPE SAPOTI

0
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hana mashaka na kikosi alichonacho kwa sasa kwani kitampa matokeo chanya kimataifa.Yanga Jumamosi itakuwa uwanja wa...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS