admin
KAPOMBE: NIMERUDI SASA NI KAZI JUU YA KAZI KITAIFA NA KIMATAIFA
SHOMARI Kapombe, beki wa Simba amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anaimani ya kufanya vizuri ndani ya Simba kwenye michuano ya kitaifa na...
YANGA: TOWSHIP ROLLERS WETU KABISA, MASHABIKI WATUPE SAPOTI
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hana mashaka na kikosi alichonacho kwa sasa kwani kitampa matokeo chanya kimataifa.Yanga Jumamosi itakuwa uwanja wa...
NYOTA HUYU AANDALIWA KUWA MRITHI WA DAVID SILVA NDANI YA MANCHESTER...
PHIL Foden, kiungo mshambulijaji ni miongoni mwa nyota wenye kipaji cha hali ya juu ambacho wapo nacho kati ya wachezaji vijana ambao wanakipiga Ligi...
SIMBA IPO BIZE NA MCHAKATO WA KUIREJESHA MIKONONI MWA WATU, KILA...
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba, Mohammed Dewj 'Mo' amesema kuwa anapenda kuona timu ya Simba inafikia hatua kubwa ya mafanikio kitaifa...
POLISI TANZANIA: MSIMU UJAO MAMBO YATAKUWA MOTO, MDHAMINI MKUU PASUA KICHWA
SELEMAN Matola, Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindani msimu ujao utakuwa mgumu kutokana na timu zote kujipanga kwa ushindani.Matola amesema kuwa kila kitu...
SportPesa, SIMBA YATOA VIFAA KWA MICHEZO KWA TIMU TATU BONGO
KAMPUNI ya SportPesa kwa kushirikiana na Simba SC leo imetembelea baadhi ya vituo vya soka na kugawa vifaa vya michezo kwa timu.Jumla ya vituo...
MORGAN GIGGS-WHITES KINDA WA WOLVES ANAYETUMAINIWA KUFANYA MAAJABU
KIUNGO wa Wolves, Morgan Gibbs-Whites msimu uliopita alikuwa kwenye maandalizi kwa ajili ya msimu ujao unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 9.Kinda huyo anayekipiga Wolves...
YANGA YAINGIA ANGA ZA SIMBA ISHU YA MAVAZI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama Kocha Mkuu wa Simba ataamua kuendelea kuvaa mavazi meupe hawezi kumshangaa kwani ni maamuzi yake.Patrick...
AZAM FC YAWAPNGA MKWARA MZITO FASIL KENEMA
AZAM FC, mabingwa wa kombe la Shirikisho wametia timu nchini Ethioppia tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Fasil Kenema.Mchezo wa kwanza Azam...
MBELGIJI WA SIMBA ATOA NEO KWA MASTAA WAKE, YANGA KUMENOGA, KESHO...
KESHO mambo ni moto ndani ya Gazeti la SPOTIXTRA Alhamis.