Home Authors Posts by admin

admin

23950 POSTS 9 COMMENTS

Meddie Kagere akabidhiwa tunzo yake.

0
Moja ya dhumuni kuu la tovuti yetu ni kusheherekea mafanikio ya watu ambao wanafanya vizuri katika ulimwengu huu wa soka kwa Tanzania....

SIMBA WAFUNGUKA JUU YA KUMSAJILI AJIBU WA YANGA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa hauna haraka ya kufanya usajili kwa kuwa walikuwa wanasubiri ripoti ya mwalimu na tayari wameshaipata hivyo watatoa...

SAMAKIBA ITADUMU MILELE

0
NAHODHA wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta amesema kuwa mpango wa kuisaidia jamii utakuwa ni wa kudumu kwa kuwa ni sehemu ya maisha kuwakumbuka...

KIBA ATAJA SABABU YA NIFUATE PROJECT, JUNI 2 KUWAKA TAIFA

0
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Ali Kiba amesema kuwa sababu kubwa za kuandaa mchezo maalumu utakaochezwa jumapili uwanja wa Taifa ni kuisaidia jamii...

YANGA WAPEWA BURE MBADALA WA MAKAMBO

0
UONGOZI wa Mwadui FC umesema kuwa upo tayari kuwapa nyota wao Salum Aiyee hata bure endapo watakuwa wanahitaji saini yake msimu ujao.Yanga kwa sasa...

UKIACHANA NA WALE WANAOTEMWA YANGA, HAWA HAPA WANATOLEWA KWA MKOPO

0
Wakati maboresho ya kikosi cha Yanga yakiendelea kufanyika hivi sasa kwa kusajili wachezaji wapya, baadhi wametajwa kuondolewa kwa mkopo.Yanga hivi sasa imesajili wachezaji takribani...

NAMUNGO YAANZA KUIVURUGA BIASHARA UNITED

0
MLINDA Mlango namba moja wa kikosi cha Biashara United, Nurdine Barola raia wa Burkina Faso anatarajiwa kujiunga na kikosi cha Namungo FC ambacho msimu...

WACHEZAJI WANAOTEMWA YANGA HAWA HAPA

0
Hii hapa orodha ya wachezaji wanaoelewa kuwa wataachwa Yanga siku yoyote kuanzia hivi sasa huku nafasi zao zikichukuliwa na wale wanaofanyiwa usajili hivi sasa.Pius...

LIPULI: HATUNA MKWANJA ILA KOMBE TUNASEPA NALO

0
KOCHA wa timu ya Lipuli, Seleman Matola amesema kuwa bado hali ndani ya kikosi kwa upande wa uchumi haijakaa sawa ila amewajenga kisaikolojia wachezaji...

AZAM FC: TUPO TAYARI KUWA WA KIMATAIFA

0
KOCHA wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa fainali ya kombe la FA dhidi ya Lipuli...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS