Home Authors Posts by admin

admin

24903 POSTS 9 COMMENTS

AZAM FC V TP MAZEMBE JINO KWA JINO LEO

0
IDDY Naldo mshambuliaji wa Azam FC dk 28 anairejesha mchezoni timu yake baada ya kusawazisha bao 1-1 bao lililofungwa na Ipammy Giovany dk ya...

DOZI YA SIMBA AFRIKA KUSINI NI MOJA MARA MBILI

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa dhamira kubwa ya kuweka kambi nchini Afrika Kusini ni kujiweka sawa kwa ajili ya msimu mpya wa mwaka 2019-20...

HILI NDILO JESHI LA AZAM FC LINALOTOANA JASHO NA TP MAZEMBE...

0
Kikosi rasmi cha Azam FC, kinachomenyana na TP Mazembe kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Kagame, Uwanja wa Nyamirambo leo Jumanne 16 Razak...

MTAMBO MPYA YANGA WATUA UWANJA WA NDEGE DAR

0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Namibia Sadney Urikhob amewasili tayari Tanzania kwa ajili ya kujiunga na klabu ya Yanga.Urikhob ametua nchini na sasa ataelekea mjini...

EXCLUSIVE!! MZEE KILOMONI SI MDHAMINI TENA SIMBA SC, USHAHIDI HUU HAPA

0
Hizi ni barua zilizotoka kwa kabidhi Wasii Mkuu wa Serikali kwenda kwa wakili wa aliyekuwa mdhamini wetu, na pia barua ya Mahakama kwenda kwa...

CHALII WA ARUSHA ALIVYOBEBA MPUNGA WA SPORTPESA

0
Mkazi wa Arusha Bwana Revocatus M. Majura akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi 10,317,378 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya 13 kwenye...

HILO DAU LA LEROY SANE WA MANCHESTER CITY LAZIMA UKAE

0
UONGOZI wa timu ya Bayern Munich umethibitisha suala la kuitaka saini ya winga wa Manchester City, Leroy Sane.Mwenyekiti wa klabu hiyo, Kari Heinz Rummenigge...

CAF YAIRUHUSU SIMBA KUTINGA JEZI YA KIJIVU

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa msimu ujao Simba watatumia jezi ya rangi nyekundu nyumbani na rangi nyeupe ugenini huku wakitumia rangi ya kijivu pale...

AJIBU AWATAKA SIMBA WATULIZE BOLI, MSIMU NI WAO

0
Nyota wa Simba, Ibrahim Ajibu amesema kuwa mashabiki wa Simba watulie watakubali mziki wake kwani amejipanga kufanya maajabu.Ajibu ambaye msimu uliopita wa 2018-19 alikuwa...

YONDANI AAHIDI MACHUNGU KWA WAPINZANI

0
BEKI mwenye nafasi kubwa ya kupewa unahodha wa Yanga msimu ujao, Kelvin Yondani amekiri kwamba kikosi hicho kimesheheni.Mchezaji huyo wa zamani wa Simba, alisema...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS