admin
Baada ya Bocco, Simba kutangaza mwingine leo!
Baada ya jana Simba Sc kutangaza kumuongezea mkataba John Bocco, leo hii itatangaza mchezaji mwingine tena waliomsajili. Akizungumza na mtandao huu mtendaji mkuu...
GARI LA BIA LAIBIWA
MAMTONI kweli kuna mambo tena si madogo! Kampuni moja ya bia ijulikanayo kama Unknown Brewery imeibiwa gari lake la bia na kutoa ofa ya...
SIMBA, WALTER BWALYA MAMBO SAFI
STRAIKA namba moja wa Nkana ya Zambia, Walter Bwalya ameweka wazi kwamba amepokea ofa ya Simba na Sportif Sfaxien ya Tunisia.Mchezaji huyo mwenye asili...
AZAM FC SIO WATU WAZURI, WAMETWAA MAKOMBE MAWILI MBELE YA SIMBA
KIKOSI cha mabingwa wa Afrika mashariki na Kati, Azam FC ambao ni watetezi wa kombe la Kagame msimu wa mwaka 2018/19 mambo yao yalikuwa...
KUMEKUCHA MWADUI FC, KUSUKA KIKOSI KIPYA CHA KUTISHA
UONGOZI wa Mwadui FC umesema kuwa kwa sasa hesabu zao ni kusuka kikosi kipya kitakacholeta ushindani mkali msimu ujao baada ya kubaki kwenye Ligi...
SIMBA YAZIDI KUJIBU MAPIGO JANGWANI, KAHATA, SHAMTE NI MUDA WOWOTE, YUPO...
WAKATI Yanga ikiendelea kufanya usajili wake, mabosi wa Simba nao tayari wameanza mambo kimyakimya kukisuka upya kikosi chao.Mpaka sasa Simba, inaelezwa kuwa tayari imefanikiwa...
TETESI ZA WACHEZAJI KUHAMA KLABU MOJA KWENDA NYINGINE LIGI KUU TANZANIA...
Hizi hapa ni tetesi za wachezaji kuhama kutoka timu moja kwenda nyingine kwa hapa Tanzania na nje ya Tanzania pia.
ALIYETAJWA KUTUA YANGA MAMBO YAGEUKA, WASHINDWANA ‘ PESA NDOGO’
Imeelezwa kuwa beki aliyemaliza mkataba na klabu ya KMC, Ally Ally amesema kuwa maslahi ndiyo kikwazo kilichomfanya asisaini mkataba na klabu ya Yanga.Taarifa imeeleza...
KUMBE HATA HUYU HAJASAINI BHANA…
Taarifa za uhakika zinasema kuwa kwamba mchezaji Ibrahim Ajibu hajasaini YANGA, na kwa siku tatu sasa hapokei simu za viongozi wa timu hiyo. Kwa mujibu...
SIMBA WALIVYOWAKA KAGERA KUBAKI LIGI KUU BARA – VIDEO
Kufuatia Kagera Sugar kusalia kunako Ligi kuu Bara baada ya kuifunga Pamba SC mabao 2-0 kwenye mchezo wa Play Off, mashabiki wa Simba hawajasita...