Home Authors Posts by admin

admin

25198 POSTS 9 COMMENTS

MAKATA ALIYEZIPANDISHA ALLIANCE FC NA POLISI TANZANIA APEWA TIMU YA DODOMA

0
MBWANA Makata ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa Dodoma FC inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza.Godwin Kunambi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma...

TANZANIA YAWALILIA WAANDISHI WATANO WALIOTANGULIA MBELE ZA HAKI KWA AJALI

0
OFISA Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando amesema kuwa ni ngumu kuamini juu ya safari ya wafanyakazi wenzake ambao wamefariki kwa ajali ila...

HAYA NDIYO MAKOMBE 40 YA NYOTA WA TIMU YA TAIFA YA...

0
Dani Alves ametwaa jumla ya makombe 40 tangu aanze kucheza mpira mia ka 18 iliyopita.Nyota huyo anayekipiga Paris Saint German raia wa Brazil alianzia...

EXCLUSIVE: SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA WATATU WA YANGA

0
GADIEL Michael sasa rasmi ni mchezaji wa Simba akitokea Yanga ambapo amesaini kandarasi ya miaka miwili.Gadiel anaungana na wachezaji wenzake wawili na kufikisha jumla...

SIMBA SC KAZI IMEANZA SASA

0
Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, hali ya mambo ilivyo hivi sasa huko mitaani baada ya timu za Simba na Yanga kuwa mbioni kuhitimisha usajili wake.Hata...

WAARABU WA MSUVA WAMTAKA MUDATHIR

0
Klabu ya Difaa Al Jadid ya Morocco ambayo anaichezea Mtanzania, Simon Msuva ina mpango wa kumsajili kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahaya.Kiungo huyo ni...

SABABU YA YANGA KUWEKA KAMBI MAPEMA MORO YATAJWA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umeanza maandalizi ya Ligi mapema ili kuandaa kikosi kitakacholeta ushindani msimu ujao. Akizungumza na Saleh Jembe, Makamu Mwenyekiti wa...

MO SALAH NA SAMATTA KUWATAZAMA WABABE HAWA WALIOTINGA ROBO FAINALI

0
BAADA ya kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kilicho chini ya nahodha Mbwana Samatta kufungasha virago kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri...

AZAM FC MZIGONI LEO KAGAME KUMENYANA NA KCCA

0
MABINGWA watetezi Azam FC leo watakuwa kazini kumenyana na KCCA kwenye michuano ya Kagame inayoendelea nchini Rwanda.Mchezo wa kwanza Azam FC walipata ushindi wa...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS