admin
BREAKING: RASMI AMUNIKE AFUNGASHIWA VIRAGO TFF
RASMI Emmanuel Ammunike amesitishiwa mkataba wa kuinoa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.Taarifa rasmi iliyotumwa na TFF kwa vyombo vya Habari leo imethibitisha,...
JOSE MOURINHO MBABE KINOMA AGOMEA OFA YA KWENDA CHINA
JOSE Mourinho amegoma kuikubali ofa ya kuinoa timu ya Guangzhou Evergrande inayoshiriki Ligi ya China.Mourinho ambaye amewahi kuzifundisha timu kubwa za Ligi Kuu England...
YANGA KUJICHIMBIA MOROGORO MAANDALIZI YA LIGI
MABINGWA wa kihistoria wa Tanzania Bara, Yanga leo wametimkia Morogoro kwa ajili ya kuweka kambi. Msimu wa mwaka 2019-20 unatarajiwa kuanza Agosti 23 na...
JPM AWALILIA WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WALIOFARIKI WAKIELEKEA CHATO
RAIS John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano wa Azam Media vilivyotokea...
KAHATA AANZA NA MIKWARA SIMBA
Baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili, kiungo mchezeshaji wa Simba raia wa Kenya, Francis Kahata, ametamba kuwa anakuja Msimbazi kucheza na siyo kukaa...
JULIO ATOA TAMKO JUU YA AJIBU KUREJEA SIMBA
BAADA ya Ibrahimu Ajibu kusaini Simba, aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jamhuri kihwelo ‘Julio’, amefunguka kuwa hakuna atakayemuweka benchi mchezaji huyo ndani ya Simba.Julio...
MAJEMBE MAPYA YANGA YAFICHWA HOTELI YA KISHUA
MASTAA wa Yanga kutoka nje ya nchi tayari wameripoti katika timu hiyo na kufikia hoteli ya kishua ya The Atriums iliyopo Africasana jijini Dar...
KINDA WA FULHAM AVIBWAGA VIGOGO MADRID, PSG AITAKA LIVERPOOL
Liverpool wako katika hatua za mwisho kumnasa kinda Harvey Elliot kutoka Fulham.Kinda huyo wa miaka 16 amekuwa kivutio kwa baadhi ya timu.Baadhi ya timu...
TANZIA: SABA WAFARIKI WAKIENDA CHATO, WATANO NI KUTOKA AZAM MEDIA
WATU saba wakiwemo wafanyakazi watano wa kampuni ya Azam Media wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, uongozi...
LIGI KUU BARA KUANZA KUTIMUA VUMBI AGOSTI, ISHU YA VIPORO YAPATA...
MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Boniface Wambura amesema kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza mwezi Agosti 23 mwaka huu na hakutakuwa...