admin
LUKAKU ANAONDOKA ZAKE MAN UNITED
Imeripotiwa kuwa Romelu Lukaku ameamua kuondoka Manchester United, hii ni kwa mujibu wa wakala wake.Straika huyo mwenye umri wa miaka 26 anatazamiwa kuachana na...
WABUNGE PIA WAMEONYESHA UDHAIFU KUHUSIANA NA TAIFA STARS, HUU SI WAKATI...
*Wakati mwingine wasialikwe kambini wakati wa mashindanoNa Saleh Ally, CairoWABUNGE walitaka kumtoa roho CAG, kisa aliwaita dhaifu, tena aliyeongoza vita hiyo ambayo wao waliita...
JAGUAR AFIKISHWA MAHAKAMANI, ATAENDELEA KUSOTA RUMANDE KAMA KAWA
Mbunge wa Jimbo la Starehe nchini Kenya na Mwanamuziki Charles Njagua maarufu Jaguar leo Juni 27 amefikishwa mahakamani akituhumiwa kutoa lugha ya chuki dhidi...
Shomari Kapombe bado yuko Simba
Usajili wa klabu ya Simba unaendelea, ambapo leo kupitia mitandao yao ya kijamii wamedhibitisha kumpa mkataba mpya beki wao wa kulia Shomari...
EXCLUSIVE: KAPOMBE AONGEZA MIAKA MIWILI MIWILI SIMBA
Beki wa kulia wa Simba Shomari Kapombe ameongeza mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo.Makubalia hayo hayo yamefikiwa baina ya klabu ya mchezaji kuendelea...
Mimi ni shabiki wa Mtibwa na siyo Simba-Juma Kaseja
Wakati watu wengi wakiamini Juma Kaseja ni shabiki wa Simba Sc kutokana na yeye kucheza kwa muda mrefu katika klabu hiyo ya...
HILI NDILO BALAA LA MBRAZIL MPYAA ALIYETUA SIMBA, SI WA MCHEZO...
MASHABIKI wa Simba wanatamba baada ya usajili wa mshambuliaji Mbrazili, Wilker Henrique da Silva ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili ya kukipiga Msimbazi.Usajili huo...
YANGA YAKAMILISHA FASTA USAJILI CAF
MABOSI wa Yanga wapo kwenye dakika za mwisho za kukamilisha usajili wao wa msimu ujao kwa ajili ya kuwahi dirisha la usajili la Shirikisho...
MBELIJIJI WA SIMBA ALETA KIBOKO YA TSHABALALA, KWASI
BAADA ya kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili ya kuendelea kubaki Simba, uongozi wa timu hiyo umepanga kusajili beki mwingine tishio atakayekuwa mbadala wa...
HAPA NDIPO MAJALADA YA STARS YANAPOJICHANGANYA, BADO TUNA NAFASI
TUMEANZA vibaya michuano ya Afcon mwaka 2019 huku sera yetu ikituambia kwamba ni zamu yetu kufanya makubwa na kufikia malengo kwa mwaka huu.Ikumbukwe kuwa...