Marce Ben Komba
KAGERA SUGAR YA MOTO BALAA…MZUNGU AMETHIBITISHA…SILAHA MATATA ZATUMIKA
Klabu ya Kagera Sugar inayoshika nafasi ya saba kwenye msimamo wa LigiKuu imetoa wachezaji wanne kwenye timu ya taifa ya Tanzania kujiandaa na mchezo...
MCHEZAJI MAMELODI APATWA NA KICHAA…ANAISHI CHINI YA DARAJA…INASIKITISHA SANA
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundowns Khayelihle Shozi kwa sasa anapitia tatizo la ugonjwa wa akili.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 alipitia...
SIMBA YATOA TIKETI ZA KITIONGA…TANZANIA YAPANDA VIWANGO…YANGA YAAMBULIA POINTI 1
SIMBA imeshaipa neema Tanzania baada ya kuingiza timu nne kwenye mashindano ya klabu Afrika msimu huu na msimu ujao kwa mara ya tatu mfululizo.
Kitendo cha...
MAGAZETI LEO: MASTAA SIMBA SC WAPEWA ONYO CAF…MUSONDA AWAAPIA KUWAANGAMIZA WAARABU…KIUNGO...
Good Morning Mwanamichezo mwenzangu Leo March 16, 2023.
Nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania
MWANASPOTI LEO: MGUNDA ATOBOA SIRI ZOTE…YANGA WAINGIA CHIMBO YAWASHTUKIA WAARABU…WABONGO HABARI...
Habari ya asubuhi Mwana michezo mwenzangu gazeti la leo Mwanaspoti 16 March 2023
Karibu kusoma kurasa za mbele za mwanaspoti leo
YANGA TIMU YA KWANZA KULETA KOMBE LA CAF…”WANANCHI MSIHOFU TUNABEBA…HAKUNA WA...
"Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani...
SIMBA SC YAFANYA KUFURU…WINGA MATATA WA KIMATAIFA…USAJILI WA KUTISHA MAPEMAA
Simba mapema tu wamepiga hesabu za kukiboresha kikosi hicho na imebainika ni kuwa wameanza mazungumzo na winga matata wa As Vita, Eric Kabwe kwa...
ZIZO NA SHALULILE WANYONGE TU…CHAMA “MWAMBA WA LUSAKA” BABA LAO…CAF IMETHIBITISHA
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora Wiki ya raundi ya nne ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...
SIMBA SC KUWAKARIBISHA IHEFU FC…YANGA WAVAANA NA GEITA GOLD…AZAM FC KUWAINGIZA...
Droo ya Michezo ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Azam Sports Federation Cup 2022/23, imefanyika mchana huu huku kila Timu ikipata nafasi...
YANGA INAGAWA DOZI NYUMBANI NA UGENINI…GARI LIMEWAKA JANGWANI…MNYAMA HAFUI DAFU
Michezo Ligi kuu soka Tanzania Bara ikiwa ipo raundi ya 25 na imesalia michezo 5 kabla ya kumalizika kwa msimu, takwimu zinaonyesha Klabu ya...