Staff Desk
ACHANA NA ISHU YA BONGO UNAAMBIWA SIMBA IMEFUNIKA AFRIKA NZIMA YAWEKA...
Timu ya Simba SC imeshika namba 1 Afrika miongoni mwa timu zenye ushawishi mkubwa katika mtandao wa Instagram kwa mwezi Oktoba.
Kwenye orodha hiyo 5...
KIKOSI CHA TAIFA STARS KIMEWASILI MOROCCO KWA NAMNA HII
Timu ya Taifa “Taifa Stars” imewasili salama nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger utakaochezwa kwenye mji...
JOB, BACCA WAMSHTUA GAMONDI
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
MAXI,PACOME WATIKISA KAMBI YA WAARABU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
JOB KUTOKA NDOTO MPAKA MAFANIKIO
Ilikuwa kama utani vile wengine waliona ndoto na wapo waliohisi haiwezekani lakini kijana kutoka Morogoro huko aliamini kuwa inawezekana kama tu ataamua ku focus...
SKUDU AFUNGUKA HAYA ANASUBIRI UONGOZI TU WA YANGA AFANYE YAKE
Kiungo wa pembeni wa Yanga, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ amesema anachosubiri kwa sasa ni makocha wa timu hiyo kumpa nafasi kwenye timu na hiyo siku...
SIMBA WASHAURIWA WAACHANE NA SAIDO
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia East Africa Ardio, Nsajigwa Senior ameushauri uongozi wa Klabu ya Simba kuachana na kiungo mshambuliaji wao, Said...
KUISHUHUDIA SIMBA VS ASEC NI BUKU 5 TU
Klabu ya Simba imetangaza viingilio vya mchezo wao wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Asec Mimosas utakaochezwa siku ya...
SIMBA KWA MISIMU MIWILI SASA WAMESHINDWA NA WATANI ZAO
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kupitia Wasafi FM Radio, George Job amesema kuwa Klabu ya Simba imezidiwa ubora na watani zao Yanga SC...
UNAAMBIWA SHABIKI AKIMBIA OFISI YAKE NA KUHAMA NYUMBA KISA GOLI TANO...
Shabiki wa Simba SC, anayejiita ‘King Laudit Mavugo’ kutoka Mbinga Ruvuma kabla ya Derby ya Kariakoo ya Novemba 5, 2023, aliahidi kutoa Kilo moja...