HIKI HAPA KIKOSI BORA CHA AFCON KWA WACHEZAJI WANAOCHEZA NDANI YA AFRIKA

0

1. Mohamed El Shenawy (GK) (Misri) 2. Wadji Kechrida (Tunisia)3. Riaan Hanamub (Namibia)4. Ayman Ashraf (Misri)5. Sfiso Hlanti  (Zambia)6. Dean Furman (Zambia)7. Tarek Hamed  (Misri)8. Ovidy Karuru  (Zimbabwe)9. Khama Billiat (Zimbabwe)10. Emmanuel Okwi (Uganda)11. Youcef Belaili (Algeria)

KOCHA STARS: UWEZO WA WACHEZAJI UNAONGEZEKA KILA SIKU

0

KAIMU Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Ettiene Ndayiragije amesema kuwa uwezo wa wachezaji unaongezeka kila siku kadri wanavyafanya mazoezi.Stars ipo kwenye maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa CHAN dhidi ya Kenya utakaochezwa Julai 28, Uwanja wa Taifa, saa 10 Jioni."Nawatazama kwa ukaribu wachezaji wote na ninapata muda wa kuzungumza nao kila mmoja jambo ambalo linanipa...

REKODI YA GARETH BALE NDANI YA MADRID TAMU KINOMA

0

REKODI  ya Gareth Bale akiwa ndani ya Real Madrid inavutia, amecheza jumla ya mechi 231 na kupachika mabao 102 huku akitoa pasi za mabao jumla ya 65.Kwa upande wa mataji ametwaa Ligi ya Mabingwa makombe manne sawa na Super Cup huku akibeba La Liga, Copa Del Rey, Supercopa De Espana mojamoja kwa sasa anatakiwa aondoke na bosi wake Zinadine...

KMC: TUPO TAYARI KUPAMBANA KIMATAIFA

0

UONGOZI wa KMC umesema kuwa hauna mashaka na kikosi walichopangiwa nacho kucheza nao kwenye michuano ya kimataifa kwani wana uwezo wa kufanya maajabu.Ofisa Habari wa KMC, Anwari Binde amesema kuwa tayari wameanza maandalizi kwa ajili ya michuano ya kimataifa wana imani ya kufanya vizuri."Tumefurahi kuona kwamba tunaanzia Rwanda na AS Kigali, tumeshiriki michuano ya Kagame hivyo tunauzoefu na timu...

DAVID DE GEA ANUKIA KUWA NAHODHA WA UNITED

0

David De Gea anaweza kuwa nahodha wa Manchester United kutokana na moja ya kipengele kilichopo kwenye mkataba wake mpya anaotaka kusaini wa miaka sita ambao utamfanya awe kipa ghali namba moja duniani.Ole Gunnar Solskjaer meneja wa Manchezter United yupo tayari kumkabidhi kitambaa cha unahodha kipa huyo baada ya nahodha wa awali Antonio Valencia kuondoka klabuni msimu uliopita."Nilimpa unahodha kwa...

YANGA: MSIMU UJAO MAMBO NI MOTO

0

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa maandalizi ya timu yanazidi kupamba moto kwa ajili ya msimu ujao.Yanga imeweka kambi mkoani Morogoro ikijipanga kwa ajili ya msimu ujao ambao unatarajiwa kuanza Agosti 23.Hafidhi Saleh mratibu wa Yanga amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa ni suala la kusubiri wakati wa ligi kuanza."Kwa sasa maandalizi yanakwenda vizuri mwalimu Noel Mwandila anawaandaa vijana kwa...

NYOTA SABA WA SIMBA KUCHOMOKA LEO KAMBINI

0

NYOTA saba wa timu ya Simba wanatarajiwa kujiunga leo na timu ya Taifa kwa ajili ya kujaanda na michuano ya Chan wakitokea Afrika Kusini.Akizungumza na Saleh Jembe, Kaimu Mkuu wa timu ya Taifa, Ettiene Ndayiragije amesema kuwa wachezaji wa Simba wanatarajiwa kujiunga leo na timu ya Taifa."Wachezaji ambao hawajajiunga na timu ya Taifa watajiunga leo na timu," amesema.Wachezaji ambao...

AZAM FC WASAHAU HABARI ZA KUPOTEZA KOMBE LA KAGAME HESABU ZAO ZIPO HUKU

0

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa.Azam FC imerejea nchini baada ya kushindwa kutetea kombe la Kagame leo inaanza mazoezi ya kujiaandaa na msimu ujao.Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema kuwa wamekubali kushindwa kutokana na ushindani."Tumepoteza kombe letu ila tumepambana, kwa sasa ni muda wa kujipanga kwa...

KOCHA STARS: UWEZO WANGU UTAZUNGUMZA UWANJANI

0

KOCHA msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania,'Taifa Stars' Seleman Matola amesema kuwa anastahili kuwa Kocha wa timu ya Taifa Kwa kuwa anauwezo mkubwa.Matola amesema kuwa ameteuliwa kutokana na uwezo alionao hivyo atapambana kufanya makubwa yatakayoonekana ndani ya uwanja."Kocha Mkuu mwenyewe, Ettiene Ndayiragije ndiye ameniteua hivyo kuna kitu amekiona na nitafanya kazi kweli kwani uwezo ninao," amesema.

CAF YATIBUA PROGRAMU YA SIMBA AFRIKA KUSINI

0

PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kutokana na ratiba ya michuano ya Ligi ya Mabingwa kutoka ni lazima afanye mabdiliko kwenye ratiba zake za maandalizi.Ratiba ya michuano ya kimataifa ya awali inaonyesha kuwa Simba itacheza mchezo wake wa awali kati ya Agosti 9/10/11 na timu ya UD DO Songo ya Msumbiji."Mchezo huu ni muhimu sana tunatakiwa kubadili...