BAADA YA KUPIGWA MKWARA NA ZAHERA, GADIEL MICHAEL NAYE ATOA MAAGIZO YANGA

0

Beki wa klabu ya Yanga, Gadiel Michael amesema yupo tayari kusaini Yanga mkataba mpya iwapo tu klabu hiyo itafikia dau na masharti ambayo amewapa, imeelezwa.Taarifa imeeleza kuwa Gadiel amedai mpira ndiyo kazi yake hivyo amewapa mapendekezo viongozi wa klabu ya Yanga ili kusaini mkataba mpya.Gadiel amefunguka kwa kusema kuwa, iwapo watashindwa mpaka tarehe 06 July atasaini klabu nyingine ambayo...

ZAHERA AMUWASHIA MOTO GADIEL MICHAEL, ATOA MASHARTI MAZITO KWA VIONGOZI YANGA

0

Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amesikia taarifa za beki wake wa pembeni, Gadiel Michael kugomea kusaini mkataba akasonya na kuwaambia viongozi; “Mnambembeleza wa nini?”Hiyo, ikiwa ni siku chache tangu mmoja wa viongozi wa Yanga kusafiri na mkataba hadi nchini Misri inapofanyika Afcon kwa ajili ya kumsajili beki huyo aliyekuwa Taifa Stars iliyoondolewa katika michuano hiyo.Beki huyo kwa...

STRAIKA SIMBA ASIFIA USAJILI WA BALINYA YANGA

0

Mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Mganda, Hamis Kiiza ameusifu usajili mpya wa mshambuliaji, Juma Balinya aliyetokea Polisi ya Uganda.Kauli hiyo ameitoa hivi karibuni mara baada ya kupata taarifa za usajili wa Balinya aliyesaini mkataba wa miaka miwili ya kukipiga Jangwani.Balinya anatarajiwa kuungana na washambuliaji wengine watatu watakaounda safu mpya ya ushambuliaji itakayoongozwa na Maybin Kalengo, Issa Bigirimana ‘Walcott’ na...

MSUVA NA SAMATTA WATUMA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA

0

NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Star,  Mbwana Samatta na mchezaji mwenzake, Simon Msuva,  kupitia kurasa zao za Instagram,  wameandika ujumbe kuwaomba Watanzania radhi kutokana na vipigo walivyovipata nchini Misri katika fainali za mashindano ya ubingwa wa mataifa ya Afrika (Afcon) yanayoendelea nchini Misri.Katika mchuano huo, timu hiyo ilianza kwa kupoteza  dhidi ya Senegal 2-0,  kisha Kenya 3-2 na...

ZANA BADO YUPO SIMBA, UWEZO WAKE WAMKOSHA MBELGIJI, ISHU YA MKATABA YATAJWA

0

Kama utani vile beki wa kupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba Zana Coulibaly amerejea Bongo ambapo kwa sasa anakamilisha mazungumzo na mabosi wa Simba kwa ajili ya msimu ujao.Coulibaly ambaye aliletwa kuwa mbadala wa Shomari Kapombe imeelezwa kuwa uwezo wake umemkosha Kocha Mkuu, Patrick Aussems na amependekeza asiachwe msimu ujao.“Coulibaly kwa sasa anakula upepo wa Dar na...

BAADA YA KUMALIZANA NA SIMBA, KAHATA ATOA TAMKO

0

Baada ya kumalizana na Simba kwa kusaini mkataba wa miaka miwili, kiungo wa zamani wa Gor Mahia FC, Francis Kahata, amefunguka kuhusiana na Meddie Kagere.Kahata amesema kuwa utakuwa ni wakati mzuri kwake kuwa timu moja na Kagere ambaye walicheza pamoja enzi wakiwa Gor Mahia FC.“Ni raha sana kujiunga tena na Kagere ambaye nilikuwa na wakati mzuri sana nae tulipokuwa...

BAADA YA KUACHANA NA SIMBA, HUKU NDIPO ANAPOELEKEA NIYONZIMA

0

Imeelezwa kuwa nyota wa Simba, Haruna Niyonzima yupo kwenye mazungumzo ya mwisho na klabu ya AS Vita ya Congo na APR ya Rwanda.Niyonzima amewaaga mashabiki wa Simba na kusema kuwa hivi karibuni atataja timu atakayoenda huku tetesi zikieleza kwamba ana nafasi kubwa ya kutua Congo.Imeelezwa kuwa timu hiyo iliutambua uwezo wa Niyonzima baada ya kucheza na timu ya Simba...

ISHU YA GADIEL MICHAEL YAZIDI KUSHIKA KASI, CHAMPIONI IJUMAA LINA MAJIBU

0

ISHU ya Gadiel Michael kesho itakuwa ndani ya gazeti la CHAMPIONI Ijumaa

SABABU KUBWA ZA KAHATA KUMALIZANA NA SIMBA ZATAJWA

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa sababu kubwa ya Francis Kahata kusajiliwa ni uwezo wake mkubwa ndani ya kikosi cha timu ya Taifa pamoja na timu yake ya Gormahia ya Kenya.Kahata mwenye umri wa miaka 27 leo amemalizana na Simba kwa kandarasi ya miaka miwili.Ataungana na kiungo mwenzake Ibrahim Ajibu ambaye naye amejiunga na Simba kwa kandarasi ya miaka mwili...