JOSE MOURINHO ASAKA TIMU YA KUFUNDISHA ADAI ANA HASIRA NA KAZI
JOSE Mourinho kwa sasa anafikiria kurejea kwenye benchi la ufundi akiwa ni meneja endapo atapata timu sahihi.Mourinho mwenye miaka 56 amekuwa bila timu kwa muda mrefu baada ya kupigwa chini ndani ya kikosi cha Manchester United, Desemba mwaka jana.Amekuwa akihusishwa kujiunga na timu ya Benfica msimu ujao, Lyon na Newcastle United wametajwa kumhitaji bosi huyo ambaye ameinoa pia Chelsea...
TAMBWE AMEMTUMIA UJUMBE HUU ZAHERA KUHUSIANA NA YONDANI
Tambwe amepaza sauti kutoka Burundi hadi Tanzania akimtaka Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera amrudishie kitambaa cha unahodha beki Kelvin Yondani.Yondani alipewa kitambaa cha unahodha kwenye mechi za maandalizi za msimu uliopita baada ya beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kustaafu lakini baadaye Yondani alivuliwa kwa madai ya utovu wa nidhamu.Tambwe amesema; “Tusubiri tuone kama Zahera atakubali ushauri kuhusu hili la kumrudishia...
KESI YA MALINZI NGOMA BADO MBICHI, UAMUZI WA KESI SASA JULAI 23
Hatimaye kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Jamal Malinzi na wenzake upande wa Serikali umefunga ushahidi rasmi na mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi Julai 23, mwaka huu ili kufahamu kama wanakesi ya kujibu au laa.Malinzi anashatikiwa na wenzake ambao ni Celestine Mwesigwa aliyekuwa katibu wa TFF, Nsiande Mwanga (Mhasibu), Mariamu Zayumba (Meneja Ofisi TFF) na Frola Rauya (karani) na hawa wote walikuwa...
AJIBU AAMUA KUELEZA UKWELI, ATAJA SABABU ZA KUIPIGA CHINI TP MAZEMBE
Mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajibu ameamua kueleza ukweli juu ya suala la kuikacha TP Mazembe.Wakati akiwa Yanga Ajibu alikuwa anhitajika Mazembe lakini Simba walimuwahi na kumpa dili nono."Niliondoka simba kwa miaka miwili nimerejea nyumbani sikugombana na mtu ndiomaana nimerudi naangalia maisha yangu kuhusu kutokwenda Tp Mazembe."Simba walinipa maslahi mazuri zaidi huo ndio ukweli ninaoujua mimi,nawashukuru wanayangwa kwa kipindi nilichokuwa...
WACHEZAJI YANGA WAPIGWA STOP
Kocha Msaidizi wa Yanga, Noel Mwandila amewazuia wachezaji wake kuzungumza chochote na waandishi wa habari.Mwandila amewazuia wachezaji wake na badala yake amewataka waelekeze nguvu zao zote mazoezini kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.Yanga inaendelea na mazoezi kujiandaa na tamasha la Wiki ya Mwananchi litakalofanyika Uwanja wa Taifa August 4 2019.Tamasha hilo litafanyika ambapo timu hiyo itacheza mchezo wa...
SIMBA HAWAPOI, WABAINISHA MALENGO YA TIMU MSIMU UJAO
UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa kwa msimu ujao ni kuleta ushindani mkubwa utakaoifanya klabu kuwa ndani ya timu tano kubwa barani Afrika.Simba leo wana semina ya ndani ya wachezaji wa Simba pamoja na benchi la ufundi inayofanyika ilipo kambi yao iliyopo kwenye fukwe za Bahari ya Hindi ambayo inahusu historia ya klabu, kanuni, maadili, desturi, malengo ya...
KESI YA MALINZI NGOMA BADO MBICHI, UAMUZI WA KESI SASA JULAI 23
HATIMAYE kesi inayomkabili aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Jamal Malinzi na wenzake upande wa Serikali umefunga ushahidi rasmi na mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi Julai 23, mwaka huu ili kufahamu kama wanakesi ya kujibu au laa.Malinzi anashatikiwa na wenzake ambao ni Celestine Mwesigwa aliyekuwa katibu wa TFF, Nsiande Mwanga (Mhasibu), Mariamu Zayumba (Meneja Ofisi TFF) na Frola Rauya...
KAGAME YAWAPA SOMO KUBWA KMC KIMATAIFA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa ushiriki wao michuano ya Kagame umewapa fursa ya kujifunza mambo mengi hasa kuelekea kwenye michuano ya kimataifa ambayo itashiriki.KMC ilialikwa kwenye michuano ya Kagame inayoendelea nchini Rwanda imetolewa hatua za awali baada ya kukusanya pointi nne.Kwenye kundi A KMC ilishinda mchezo mmoja dhidi ya Rayon Sport na ilitoka sare ya kufungana bao 1-1 na...
AJIBU AWATETEMESHA KAHATA NA CHAMA SIMBA
KUTUA kwa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Simba kutawapa ugumu wa namba viungo wenzake Mkenya, Francis Kahata na Mzambia, Clatous Chama kwenye timu hiyo.Ajibu na Kahata wote walijiunga kwa pamoja kwenye msimu huu wa ligi kama wachezaji huru baada ya kumaliza mikataba na klabu zao walizokuwa wanazichezea.Kutua kwa Ajibu kutaleta ushindani mkubwa kutokana na wote kucheza nafasi...
AJIBU AKUTANA NA PACHA ZAKE SIMBA, BONGE LA SELFIE LAPIGWA
Wachezaji Mohammed Hussein, Said Ndemla na Ibrahim Ajibu wamekutana katika picha ya pamoja leo.Utatu huo umekutana tena baada ya misimu miwili iliyopita Ajibu kuwa Yanga lakini sasa amerejea tena kunako Simba SC.Ajibu amerejea baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili na sasa atahudumu Simba mpaka mwaka 2021.Watatu hao wamepiga SELFIE hiyo ya pamoja kabla ya semina maalum juu ya...