KUBWA KULIKO NI YA KIBABE, MOJA KWA MOJA LITARUSHWA NA AZAM TV

0

 Kubwa Kuliko itazinduliwa rasmi Jumamosi,Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar es Salaam na wanachama pamoja na viongozi wa Yanga lengo likiwa moja kuichangia timu.Mchakato huo kwa mara ya kwanza ulizinduliwa na Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera makao makuu ya nchi, Dodoma.Katibu wa Kamati ya Hamasa ya Yanga, Deo Muta amesema kuwa maandalizi ya tamasha hilo yamekamilika litaanza saa nne...

STARS YAPATA MAKOCHA WAWILI WAPYA, WAANZA KAZI MOJAKWAMOJA

0

MWENDO Mdundo sasa kwa timu ya Taifa ya Tanzania ambayo imeweka kambi nchini Misri kwa ajili ya kujiaanda na michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21.Benchi la ufundi lililo chini ya Kocha Mkuu, Emmanuel Ammunike ameongezewa makocha wawili ambao wameongeza nguvu kwenye kambi hiyo na imeelezwa kuwa wamewahi kufanya kazi na Ammunike.Makocha hao wote ni raia wa Misri wanaifanya...

YANNICK CARRASCO KUIBUKIA KWA WASHIKA BUNDUKI

0

YANNICK Carrasco kwa sasa kuna uwezekano mkubwa kuibukia kwenye kikosi cha Arsenal kilicho chini ya Unai Emery kumwaga wino.Winga huyo mwenye miaka 25 amefunga jumla ya mabao 11 kwenye mechi 31 alizocheza baada ya kujiunga na klabu ya Blue Hawks mwaka 2018.Kwa sasa imeelezwa kuwa anawindwa na washika bunduki hao ili aongeze nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao.Carrasco amesema "kwa...

JERO TU UTAONA MECHI KALI YA LEO, MZUMBE VIJANA CUP, TEGETA

0

LIGI ya Mzumbe Vijana Cup inazidi kukata mbunga ambapo leo majira ya saa 10:00 uwanja wa Sekondari Tegeta itaipigwa bonge moja ya mechi.Ligi hiyo  kwa sasa ipo hatua ya 16 bora na kila timu imepania kuibuka na ushindi ili kupenya kwenye ligi hii ambayo wajanja wengi wameikubali.Leo ni mchezo kati ya Nyatunyatu FC dhidi ya Bondeni FC na uchakavu...

AISHI MANULA APIGWA PINI RASMI MIAKA MITATU

0

MLINDA mlango wa Simba, Aishi Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Kariakoo, Msimbazi.Manula anakuwa mchezaji wa pili kutambulishwa rasmi kuongeza mkataba ndani ya klabu hiyo baada ya jana mchezaji John Bocco kutangazwa rasmi kwamba ameshamalizana na klabu hiyo kwa kuongeza mkataba wa maika miwili.Kwa sasa Manula yupo nchini Misri akiwa...

Hakuna uhakika wa Zana

0

Hakuna uhakika wa ZanaSimba yakanusha kuwatema Zana na KwasiBocco ni mchezaji wa Simba na siyo Polikwane FC.Aussems anapowakataa Kotei, Niyonzima na kumkubali Zana ni matokeo niliyotarajiBaada ya Bocco, Simba kutangaza mwingine leo!Kandanda inatambua kuwa kuna uwezekano mkubwa sana beki wa kulia wa Simba Sc aliyekuja kuziba nafasi ya Shomari Kapombe, hatarudi tena.Zana Coulibaly aliaminika kuwa ni mbadala...

LIPULI YAMCHUNIA MATOLA, KAMBI YAO YAVUNJWA KIMAAJABU

0

KOCHA wa Lipuli, Seleman Matola amesema kuwa mpaka sasa hajaitwa mezani na uongozi wa Lipuli kujadili hatma ya mkataba wake pamoja na mipango ya msimu ujao.Akizungumza na Saleh Jembe, Matola amesema kuwa kambi yao baada ya ligi kuisha pamoja na kumaliza fainali ya kombe la Shirikisho ilivunjwa kwa mtindo wa maajabu."Kiukweli namna kambi ilivyovunjwa haikuwa vizuri kwani hakuna mchezaji...

ISSU YA BOCCO WA SIMBA KUSAINI TIMU MBILI IPO NAMNA HII

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa klabu ya Polokwane FC ya nchini Afrika Kusini imekiuka makubaliano ya FIFA kwa kudai mchezaji John Bocco ni mali yao.Jana Simba walitoa taarifa rasmi kuhusu kumuongezea kandarasi ya miaka miwili nahodha wa kikosi hicho John Bocco ghafla wameibuka viongozi wa timu ya Polokwane wakidai mchezaji ni wao.Polokwane wamedai kwamba Bocco alisaini mkataba wa miaka...

MKALI WA MIASISTI KUTUA MANCHESTER UNITED

0

IMERIPOTIWA kwamba Manchester United wana mpango wa kumsainisha kwa dau la Euro 70 milioni, kiungo mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Bruno Fernandes. United wanashindana na wapinzani wao Manchester City kuipata saini ya nyota huyo mwenye miaka 24 ambaye ni mkali wa assisti. United tayari wameshafanya mazungumzo na uongozi wa Sporting wakiwa na ombi maalumu kumpata mchezaji huyo haraka iwezekanavyo ili atue Old...

Baada ya Bocco, Simba kutangaza mwingine leo!

0

Baada ya jana Simba Sc kutangaza kumuongezea mkataba John Bocco, leo hii itatangaza mchezaji mwingine tena waliomsajili. Akizungumza na mtandao huu mtendaji mkuu wa klabu ya Simba, Bwana Magori amedai kuwa leo kutakuwepo na tangazo jipya la mchezaji.” Watu wakae kwenye mitandao ya kijamii yote ya Simba, Twitter, Instagram kuna mwingine atatangazwa leo”- alidai MagoriThe post Baada ya...