SEKUNDE YA 65 YAIFUNGISHA VIRAGO UTURUKI
CALIFORNIA, MAREKANI: PARAGUAY imefufua matumaini ya kutinga hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao…
Browse all posts in this category.
CALIFORNIA, MAREKANI: PARAGUAY imefufua matumaini ya kutinga hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao…
Nyota wa Hispania, Lamine Yamal amesema kwamba sio sahihi yeye kulinganishwa na Kylian Mbappe na Erling Haaland kwa vile wao wamemzidi umri.…
CALIFORNIA, MAREKANI: NYOTA wa Paraguay, Miguel Almiron amejikuta akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi nyekundu kwa kosa la kuongea akiwa…
Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi ameishusha presha timu yake ya taifa, saa chache kabla ya kuivaa Scotland baada ya kusema kuwa uamuzi…
LISBON, Ureno: DAMU nzito… Dada yake Cristiano Ronaldo ameonekana kuunga mkono chapisho la Instagram lililomkosoa Bruno Fernandes, jambo ambalo limezua ya uwezekano…
Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ imepata pointi ya kwanza katika fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1…
TORONTO, CANADA: MSHAMBULIAJI wa Ivory Coast, Elye Wahi mwenye umri wa miaka 23 amezuiwa kuingia Canada hivyo ataukosa mchezo wa Kombe la Dunia…
Jana katika Houston Stadium, uwanja ulijaa kelele za “Siuu! Siuu!” kila Ronaldo alipogusa mpira. Lakini baada ya dakika 20 za kwanza, kelele…
DR Congo imeukataa unyonge kwa kulazimisha sare 1-1 na Ureno yenye mastaa wakubwa duniani akiwemo Cristiano Ronaldo. Dakika sita tu zilitosha kwa…
Mchezo wa leo wa michuano mikubwa 2026 kati ya Portugal na DR Congo unatarajiwa kuwa mmoja wa mechi zinazovutia katika Kundi K.…
IKIWA Ayyoub Bouaddi na Yan Diomande ni dalili ya kitu chochote, basi mustakabali unaonekana kuwa mzuri kwa Morocco na Ivory Coast mtawalia…
HOUSTON, MAREKANI: Kila kizazi huwa na shujaa wake, lakini wachache wameweza kuandika historia inayodumu kwa zaidi ya miongo miwili kama alivyofanya Cristiano Ronaldo…