ISHU YA NDAYIRAGIJE KUCHIMBISHWA STARS NGOMA NZITO

0
 IKIWA tetesi zinaeleza kuwa Ettiene Ndayiragije, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzana, Taifa Stars amesitisha mkataba wake, Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) limesema...

KAGERE AANDIKA HISTORIA MBELE YA AZAM

0
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Simba, Meddie Kagere ameandika historia mbele ya klabu ya Azam baada ya kufanikiwa kuifunga timu hiyo katika michezo mitatu mfululizo...

YACOUBA, SARPONG, WAPUNGUZA PRESHA YANGA, SAIDO AWEKWA CHINI YA ULINZI

0
 ZIKIWA zimebaki siku tatu pekee kabla ya kuwavaa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, presha imeshuka ndani ya kikosi cha Yanga baada...

MUONEKANO WA LAKE TANGANYIKA, DIMBA LA FAINALI FA

0
 HUU ndio muonekano wa uwanja wa Lake Tanganyika uliopo mkoani Kigoma, uwanja huu ndiyo utakaotumika kwenye fainali ya kombe la Shirikisho la Azam (FA),...

JEMBE LA KAZI LAVUTWA NA KAZE,KUIVAA MBEYA CITY

0
 BAKARI Mwamnyeto,nahodha msaidizi wa kikosi cha Yanga amerejea kambini baada ya kuwa na ruhusa maalumu kutokana na matatizo ya kifamilia.Mwamnyeto ambaye amekuwa akifanya kazi...

SIMBA YAJIPA MATUMAINI KUFANYA VIZURI KIMATAIFA

0
 WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa, Simba wameweka wazi kwamba wanaamini watafanya vizuri kimataifa kwa kuanza na mchezo wao dhidi ya AS Vita.Seleman...

DAVID MOYES:TULISTAHILI KUFIKA HATUA YA PENALTI FA

0
 David Moyes, Kocha Mkuu wa West Ham United amesema kuwa wakati wakichapwa bao 1-0 dhidi ya Manchester United mchezo wa Kombe la FA walistahili...

KMC YATIA TIMU RUKWA, KAMILI KUIVAA TANZANIA PRISONS

0
TIMU ya Manispaa ya Kinondoni, Jana, Februari 9 alfajiri ilisepa  jijini Dar es Salaam kuelekea Mkoani Rukwa kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi...

AZAM FC KUMENYANA NA COASTAL UNION, LYANGA AREJEA NYUMBANI

0
KESHO kikosi cha Azam FC  kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kitakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Coastal Union. Msafara wa...

MEDDIE KAGERE:USHINDANI BONGO NI MKUBWA KILA IDARA

0
MTUPIAJI namba moja ardhi ya Bongo anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa ushindani umekuwa mkubwa kwa upande wa Ligi Kuu Bara kiujumla...