SIMBA WAANZA, KAZI, NYOTA HAWA WATATU KUMALIZANA NAO FASTA
NYOTA wa Simba, Sharraf Eldin Shiboub, Mzamiru Yassin ambao ni viungo na beki wa kati Pascal Serge Wawa wameitwa mezani ili kumalizana na Simba.Nyota...
ISHU YA MFUMANIA NYAVU WA NAMUNGO KUTUA YANGA IPO NAMNA HII
AHMAD Kassim ‘Prezdaa’, Meneja wa Mshambuliaji wa Namungo, Reliants Lusajo amesema kuwa wapo tayari kufanya kazi na Yanga kama watamhitaji mchezaji wake.Lusajo ambaye ni...
MABOSI YANGA WAWASHUSHA PRESHA MASHABIKI WAO KUHUSU KIUNGO WAO ALIYEWASUMBUA SIMBA
IMEELEZWA kuwa mkataba wa kiungo wa timu ya Yanga, Feisal Salum bado ni mrefu jambo linalowapa wakati mgumu timu zinazoiwinda saini yake kuipata saini...
KISA CORONA, BEKI SIMBA AJIFUNGIA NDANI AKICHEZA GEMU
PASCAL Wawa, beki wa Simba amesema kuwa kwa sasa yupo salama na anaendelea kufanya mazoezi binafsi ili kulinda kipaji chake huku akitumia muda mwingi kucheza...
DROO YA KWANZA JISHINDIE GARI YAFANYIKA LEO, WATATU WASEPA NA ZAWADI ZAO JUMLAJUMLA
DROO ya Kwanza ya Shindano la Jishindie Gari inayoendeshwa na Kampuni ya Global Group kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra...
TANZIA; ASHA MUHAJI, ALIYEKUWA OFISA HABARI WA SIMBA AFARIKI DUNIA
ASHA Muhaji, mwandishi mwandamizi wa michezo nchini amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa huduma ya afya.Asha aliwahi Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amekutwa na...
KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA MAKOCHA KUWA NA PRESHA
KOCHA Msaidizi wa Simba FC, Selemani Matola amesema kuwa makocha wengi wanaozinoa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaishi kwa presha kwa kuwa hawana...