SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KWA AZAM FC
UONGOZI wa Simba umesema kuwa upo tayari kumalizana na Azam FC leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa majira ya saa 1:00 usiku.Azam...
POLISI TANZANIA: TUNAZITAKA POINTI TATU ZA MWADUI
MARCEL Kaheza mshambuliaji wa Polisi Tanzania amesema kuwa leo watakuwa na kazi kubwa ya kuzisaka pointi tatu mbele ya Mwadui FC kwenye mchezo utakaochezwa...
NAMUNGO YAIPIGA MKWARA MTIBWA SUGAR
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa anawaamini wachezaji wake watapambana mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa leo utakaochezwa Uwanja wa...
GAZETI LA BETIKA LIPO MTAANI LEO BURE KABISA
MUONEKANO wa Mbele Gazeti la BETIKA, lipo mtaani leo nakala yake ni bure
HILO BALAA LA MOLINGA NA SIBOMANA ACHA KABISA
DAVID Molinga mshambuliaji wa Yanga ameongeza akaunti yake ya mabao kwenye Ligi Kuu Bara sawa na pacha mwenzanke Patrick Sibomana baada ya jana Machi...
AZAM FC V SIMBA NI VITA YA KISASI LEO
KIKOSI cha Simba, jana kimefanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya kumalizana na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa leo Uwanja...
HATA IWEJE TUNAWAPIGA NA HAMTAAMINI, NI NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
SAFU YA USHAMBULIAJI YA SIMBA YAISHTUA YANGA, MBINU YA KUIPOTEZA HII HAPA
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amelichanganya benchi la ufundi la Simba kutokana na kasi yake ya kutupia mabao ambayo amekuwa nayo ndani ya ligi...
BOCCO AACHA BALAA KWA LIPULI YA DIDA NAMNA HII
JOHN Bocco, nahodha wa Simba ameacha balaa kwa Lipuli baada ya kuwafunga bao kwenye ushindi walioupata Simba mbele ya Lipuli kwenye mchezo wa Ligi...