NAMUNGO YAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA LEO, TAIFA

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa timu ya Namungo amesema kuwa leo ataingia na mbinu mpya itakayompa nguvu ya kupata pointi tatu kwenye mchezo wao...

SAMATTA SASA KUKUTANA NA MANCHESTER CITY AMA MANCHESTER UNITED FAINALI YA CARABAO

0
MBWANA Samatta, mshambuliaji wa timu ya Aston Villa alitumia dakika 65 ndani ya Uwanja kuonyesha makeke yake mbele ya Leicester City wakati timu yake...

CHAMPIONI JUMATANO, JANUARI,29,UKURASA WAKE WA MBELE UPO HIVI LEO

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatano, Januari,29.

SAMATTA AANZA MAKEKE YAKE,NYOTA YAKE KALI KINOMA, ASTON VILLA, AANZA NA ZALI LA USHINDI...

0
MBWANA Samatta, mshambuliaji wa timu ya Aston Villa, amecheza mchezo wake wa kwanza usiku wa wa kuamkia leo mbele ya Leicester City kwenye Kombe...

SVEN AFUNGUKA JUU YA SUALA LA UMOJA SIMBA

0
KOCHA wa Simba Sven Vandenbroeck amewasisitiza wachezaji wake kucheza kwa umoja ili kuendelea kupata ushindi utakaorudisha furaha kwa mashabiki na kutimiza malengo ya kutetea...

BAADA YA KUONYWA NA KOCHA WAKE JUU YA MBWEMBWE, MORRISON AAMUA KUFUNGUKA

0
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Bernard Morrison amesema anapofanya mbwembwe uwanjani halengi kuwadhihaki timu pinzani bali ni mahsusi kwa ajili ya kuwapa burudani mashabiki ambao...

HAJI MANARA AWACHOKOZA TENA YANGA ‘AWAMU HII KILA MTU NA MSALABA WAKE’

0
Alichokiandika Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram juu ya watani zake Yanga kuhusiana na uwakilishi katika mashindano ya kimataifa.

TAMKO LA YANGA JUU YA SUALA LA KABWILI KUPEWA IST NA SIMBA

0
KLABU ya Yanga kupitia kwa Ofisa Habari wake, Hassan Bumbuli imekiri kuwa taratibu haziwaruhusu wachezaji kuzungumza na vyombo vya habari kuhusu masuala ya ndani...

RASMI YANGA WAFUATA NYAYO ZA SIMBA

0
Mwenyekiti wa timu ya Yanga anapenda kuwatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na Mkutano Mkuu wa Dharura wa wanachma wa Klabu utakaofanyika Jumapili 16/02/2020 kuanzia...

MORRISON AZIDI KUWA HABARI NYINGINE

0
Nahodha msaidizi wa Yanga, Juma Abdul, amesema kuwa uwezo alionao kiungo mshambuliaji, Bernard Morrison, raia wa Ghana, ni habari nyingine kwani ana vitu vingi...