HATA YA NYOTA SITA WA SIMBA MIKONONI MWA MBELGIJI, WAWILI HATIHATI KUPIGWA CHINI MAZIMA
IMEELEZWA kuwa nyota sita ndani ya klabu ya Simba mikataba yao inakaribia kumeguka huku nafasi za wengine kubaki zikiwa mikononi mwa Kocha Mkuu wa...
CHIRWA NDIO BABA LAO AZAM FC, CIOBA AKERWA NA UBUTU WA SAFU YAKE YA...
OBREY Chirwa, nyota wa Azam FC ndiye mcheka nyavu anayewakimbiza wote ndani ya klabu hiyo kwa kutupia mabao.Azam FC ikiwa imefunga mabao 37 yeye...
MANCHESTER UNITED YAKUBALIANA NA MATIC KWA DILI LA MWAKA MMOJA
MABOSI wa Manchester United wamekubaliana na nyota wao Nemanja Matic ambaye ameongeza mkataba wake kuendelea kuitumikia klabu hiyo.Nyota huyo mkataba wake ulikuwa unameguka baada...
HAYA NDIYO MAISHA YAO NDANI YA SIMBA KWA SASA, REKODI ZIPO HIVI
NYOTA wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, kushoto ni Haruna Shamte yeye amesajiliwa na kikosi hicho akitokea Klau ya Lipuli.Simba ikiwa imecheza mechi...
UEFA YASIMAMISHWA MPAKA 2021
UEFA imesitisha michuano hiyo ndani ya mwaka huu 2020 mpaka 2021 kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona.Kutokana na kuenea kwa Virusi vya Corona...
MASHINDANO YA DIPLOMATIC GOLF MSIMU WA PILI KUANZA MEI 30
MASHINDANO ya Diplomatic Golf msimu wa pili yanayoratibiwa na Kampuni ya Tanzania Mwandi kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi na...
ISHU YA LIGI KUSIMAMISHWA SIMBA WAIGUSIA, WAICHOKONOA KIANIA KLABU NYINGINE
HAJI Manara amesema kuwa masha ya Watanzania ni muhimu kuliko mpira lakini ana imani kwamba utaratibu upo wazi.Serikali imesimamisha masuala yote ya michezo kwa...
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU KUSIMAMISHWA KWA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA
KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa wanasitisha masuala yote yanayohusu mikusanyiko ya watu isiyo ya lazima...
HIVI HAPA VIGINGI 11 VYA YANGA MSIMU HUU WA 2019/20
IKIWA imecheza mechi 27 na kujiwekea kibindoni jumla ya pointi 51, Yanga imebakiza vigingi 11 ili kukamilisha mzunguko wa pili baada ya siku 30...
BREAKING: LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA YASIMAMISHWA KWA MUDA
LIGI Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Ligi ya Wanawake na masuala yote ya michezo yanayohusisha mjumuiko ya watu imesitishwa kuanzia leo na...