SALAMU HIZI ZATUMWA GWAMBINA FC KUTOKA YANGA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kesho utapambana kupata matokeo mbele ya Gwambina kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa Uwanja wa Taifa.Yanga itawakaribisha Gwambina...

KAGERA SUGAR YATUMA UJUMBE HUU KWA KMC

0
KAGERA Sugar iliyo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime kesho itawakaribisha KMC kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa Uwanja wa Kaitaba.Mchezo huo unatarajiwa...

KESHO AZAM FC MIKONONI MWA IHEFU KULITETEA TAJI LAO LA SHIRIKISHO

0
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Azam FC kesho watakuwa na kibarua cha kuendeleza mbio za kutetea taji lao hilo kwenye mchezo wa hatua...

NAMUNGO KAMILI GADO KUVAA MBEYA CITY LEO SOKOINE

0
KOCHA wa Namungo FC, Hitimana Thiery amesema kuwa kikosi chake kipo tayari kupambana leo na Mbeya City kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua...

HII HAPA RATIBA YA MECHI ZA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA KWENYE MICHUANO YA...

0
TIMU ya Taifa ya Tanzania mwezi Aprili itakuwa nchini Cameroon ikishiriki michuano ya CHAN ambayo inawahusu wachezaji wa ndani.Stars imepangwa kundi D.Ratiba yao ipo...

SADIO MANE APELEKA MAUMIVU KWA WESTHAM UNITED, LIVERPOOL BALAA

0
SADIO Mane, mshambuliaji wa Liverpool raia wa Senegal alitimiza majukumu yake Jana wakati wakiilaza kwa mabao 3-2 Westham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

MEDDIE KAGERE ATAJA SABABU INAYOMPONZA ASHINDWE KUFUNGA KWENYE BAADHI YA MECHI BONGO

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ambaye ni kinara wa kutupia ndani ya ligi amesema kuwa sababu kubwa iliyokuwa ikimfanya ashindwe kufunga kwenye mechi za...

EDEN HAZARD MAJANGA JUU YA MAJANGA HUKO REAL MADRID

0
EDEN Hazard kiungo wa Real Madrid ataukosa mchezo dhidi ya Manchester City kesho ambao ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.Hazard alipata majanga wakati...

SIMBA KUFUMUA KIKOSI CHA KWANZA LEO MBELE YA STAND UNITED

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa leo kwenye mchezo wao dhidi ya Stand United utafanya mabadiliko makubwa ya kikosi ili kuwapa nafasi wachezaji ambao walikuwa...

SARE NNE ZAIBUA SABABU NYINGINE HUKO JANGWANI, UONGOZI WASEMA HILI NALO LINACHANGIA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa timu nyingi ambazo wanakutana nazo zinawakamia jambo linaloongeza ugumu wako kupata matokeo.Ofisa uhamasishaji wa Yanga, Antonio Nugaz amesema kuwa...