SASA NYOTA MMOJA WA STARS NI MILIONEA AOGA MINOTI YA KUTOSHA

0
KUTOKANA na kazi aliyofanya jana uwanja wa Taifa kwa kuokoa penalti moja na kuwapotezea uwezo wa kujiamini na akukosa penalti mbili sasa Juma Kaseja...

WENGER AWEKA UNAFIKI PEMBENI, AAMUA KUMCHUKIA SALAH

0
Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger amemtaka straika wa Liverpool, Mohamed Salah kuacha uchoyo wakati akiichezea timu yake.Wenger amesema kuwa endapo Salah ataacha...

VITA YA MAGOLIKIPA WAWILI WA TIMU YA TAIFA YAPATA MBABE, KASEJA ANA BALAA

0
VITA ya magolikipa wawili wa KMC ambao wote wanazitumikia timu zao za Taifa leo zimemalizka kwa mmoja kuibuka mbabe baada ya kuipeleka timu yake...

KADI ZA NJANO 1,200 ZA WAAMUZI ZILIVYOTULIZA MZUKA LIGI KUU ENGLAND

0
NA SALEH ALLYNGUVU ya Ligi Kuu England maarufu kama EPL imepanda kwa kiasi kikubwa msimu uliopita kwa mara ya kwanza kukiwa na uthibitisho wa...

LIVE: TANZANIA 0-0 BURUNDI

0
MCHEZO wa pili kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Burundi umeanza uwanja wa Taifa ukiwa ni mchezo wa marudio...

PIGO, SASA JUVENTUS KUSEPA NA NYOTA HAWA WATATU NDANI YA MANCHESTER UNITED

0
JUVENTUS imedaiwa kuhusishwa na mpango wa kusepa na wachezaji watatu ndani ya kikosi cha Manchester United ambao ni David de Gea, Eric Bailly na...

ISHU YA SALAH HAIJAPOA NDANI YA LIVERPOOL YAMUIBUA WENGER

0
KOCHA wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger amemtaka straika wa Liverpool, Mohamed Salah kuacha uchoyo wakati akiichezea timu yake. Kauli ya Wenger imekuja siku chache...

KIKOSI CHA STARS DHIDI YA BURUNDI HIKI HAPA

0
Kikosi cha Taifa Stars kitakachoanza dhidi ya Burundi1. Juma Kaseja2. Hassan Ramadhan3. Erasto Nyoni4. Kelvin Yondani5. Mohamed Hussein6. Jonas Mkude7. Salum Abubakar8. Hassan Dilunga9....

KAZI NDO KWANZA IMEANZA, CHIRWA AWA MTAMU KABLA YA KUWAVAA WAZIMBABWE

0
OBREY Chirwaa ameanza kuwa mtamu ndani ya Azam FC baada ya jana kufanya maajabu yake kwa kufunga 'hattrick' kwenye mchezo wa kirafiki.Azam FC ambayo...