AZAM FC YASAJILI MAJEMBE MATATU, MSHAMBULIAJI MMOJA ALICHEZA SIMBA

0
SELEMAN Ndikumana, mshambuliaji kutoka Al Adalah ya Saud Arabia amejiunga na klabu ya Azam FC kwa kuasini kandarasi ya mwaka mmoja.Ndikumana raia wa Burundi ametua Azam...

AC MILAN YAFUNGIWA KUSHIRIKI MICHUANO YA ULAYA

0
Klabu ya soka ya AC Milan ya Italy yenye makazi yake katika uwanja wa San Siro itatumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokushiriki michuano ya...

RASMI HARUNA NIYONZIMA AACHANA NA SIMBA

0
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, amewaaga mashabiki wa timu hiyo na kuwashukuru kwa yote waliyoshirikiana kwa kipindi cha misimu miwili ndani ya...

AJIBU PASUA KICHWA, AWAZIMIA SIMU MABOSI WA TP MAZEMBE

0
UNAAMBIAWA TP Mazembe, bado wamemkomalia nyota wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye usajili wake uliingia doa kwa kushindwana kwenye malipo.Wakala wa TP Mazembe, Patrick Mazembe...

ADHABU YA WARDA WA MISRI, BADO INABAKI NA UJUMBE KWETU

0
Na Saleh Ally, CairoGUMZO kubwa la hapa Misri ni kuondolewa kwa kiungo Amr Warda katika timu ya soka ya taifa ya Misri.Inakuwa vigumu kujua...

BREAKING; SIMBA YASAJILI WABRAZIL WATATU

0
BEKI Tairone Santos da Silva  (30) amesaini kandarasi ya miaka miwili kuitumikia timu ya Simba.Santos Amejiunga na Simba akitokea timu ya Atletico Cearense FC...

MATOLA WA POLISI TANZANIA KUIBOMOA YANGA NA LIPULI

0
BEKI wa Yanga, Haji Mwinyi, huenda akatua Polisi Tanzania iliyo chini ya Suleman Matola ambaye amesaini kandarasi ya mwaka mmoja.Mwinyi kwa sasa yupo huru...

DIDA NAYE MGUU NJE NDANI SIMBA, ATAJWA KUIBUKIA NAMUNGO

0
IMEELEZWA kuwa mlinda mlango namba mbili wa Simba, Deogratius Munish 'Dida' anaweza kusepa ndani ya kikosi hicho na kutimkia Namungo FC.Habari zimeeleza kuwa kwa...

MAURIZIO SARRI KIBOKO KWA SIKU ANAVUTA ‘MISIGARA’ KIBAO

0
MENEJA wa Juventus, Maurizio Sarri amesema kuwa huwa anavuta sigara nyingi kwa siku ili kujiskia vizuri baada ya mechi.Sarri ambaye ametimka Chelsea kwa kile...