NYOTA WANNE WA SIMBA WATUA AFRIKA KUSINI, WAANZA KAZI RASMI
TAYARI nyota wanne wa Simba ambao walikuwa wamekwama kukwea pipa na kujiunga na timu nchini Afrika Kusini wameshatia timu na leo wamefanya mazoezi na...
AZAM FC: KESHO HAO MANYEMA WANAKAA
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kesho watapambana kuwakalisha wapinzani wao Manyema FC kwenye mchezo wa nusu fainali kombe la Kagame.Akizungumza...
VYAMA VYA MIKOA, TFF TUWEKEENI MAZINGIRA RAFIKI KWA MCHEZO WA SOKA
Na Dominick SalambaMiaka ile ya 1990, enzi za ujana wetu kipindi cha ujana wetu wakati muziki kutoka Kongo ukitamalaki katika nchi yetu zama zile...
MBIO ZA BAISKELI NDANI YA MAJIMAJI SELEBUKA NI MOTOOOO
Na Mwandishi Wetu, SongeaHuku mbio za baiskeli kwa afya katika Tamasha la Majimaji Selebuka linaloendelea mjini hapa zikitarajiwa kurindima kesho Jumamosi, joto limeanza kupanda...
AJIBU AKIONA CHA MOTO SAUZI
AKIWA Rustenburg, Afrika Kusini kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Ibrahim Ajibu na Francis Kahata wamekiona cha moto ni baada ya Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems...
YANGA YATANGAZA MECHI NNE ZA MAAJABU
YANGA imetangaza kwamba mwezi Agosti na Septemba watakuwa na mechi nne za kuonyesha ubora wao Afrika lakini hapa kambini pamenoga. Ligi ya Mabingwa Afrika...
LIGT AUNGANA NA CR7 JUVENTUS, ASAINI MIAKA MITANO
Klabu ya Juventus imekamilisha usajili wa beki wa kimataifa wa Uholanzi Matthijs de Ligt.Beki huyo kutoka Ajax amekamilisha usajili huo kwa dau la euro,...
MANCHESTER UNITED: HAKUNA OFA YA PAUL POGBA
OLE Gunnar Solskjaer, meneja wa Manchester United amesema kuwa bado atabaki na nyota wa kikosi hicho Paul Pogba na anaweza kumfanya akawa bora zaidi...
HUYU NDIYE ALIYE NYUMA YA USAJILI WA NYOTA WA SIMBA FRANCIS KAHATA
FRANCIS Kahata kiungo mpya wa Simba amesema kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wamechangia kumshawishi ajiunge ndani ya kikosi hicho ni mshambuliaji Meddie Kagere.Kahata amejifunga...











