OMBI LA MAN CITY LAKWAMA, WAPINZANI EPL WACHACHAMAA

0
LONDON, ENGLAND: MANCHESTER City wanaonekana kushindwa katika jitihada  za kubadilishiwa ratiba ya mechi dhidi ya Crystal Palace na Bournemouth, licha ya kukabiliwa na mzigo...

MAMA MZAZI WA SPARK AFUNGUKA KAULI YA MWISHO YA MWANAWE

0
Mama mzazi wa marehemu mwanamuziki wa Bongo Fleva Selemani Ramadhan ‘Spack’, Mwanahawa Selemani amefunguka kauli ya mwisho aliyozungumza na mwanaye. Akizungumza na Soka la Bongo...

LUKA MODRIC AUNGANA NA KINA SALAH, SIMONS

0
MILAN, ITALIA: SUPASTAA wa zamani wa Real Madrid na mchezaji bora wa dunia 2018, Luka Modric ameungana na mastaa wa Liverpool, Mohamed Salah na...

KOCHA AFICHUA UDHAIFU TIMU ZA ZANZIBAR KOMBE LA MUUNGANO

0
KOCHA Mkuu wa Mwenge, Mohamed Said ‘Shuberi’ amesema kinachozifanya timu Zanzibar zionekane dhaifu zinapokutana na za Tanzania Bara ni maandalizi mabovu yanayofanywa. Amesema, kuna tabia...

TIGANA BINGWA MUUNGANO CUP U20

0
KITUO cha Soka cha Tigana Lukinja Football Academy kimefanikiwa kutwaa ubingwa kwenye mashindano ya Gurdian Angles Olympafrica chini ya umri wa miaka 20, baada...

0
MANCHESTER, ENGLAND: KIUNGO wa Machester United, Casemiro alionekana akifuta machozi baada ya filimbi ya mwisho kufuatia ushindi wa mabao 2-1 wa Manchester United dhidi...

HII HAPA VITA YA MBINU KATI YA ENRIQUE VS KOMPANY

0
Jumanne hii katika dimba la Parc des Princes tutaenda kushuhudia vita ya mbinu ya walimu wawili kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali wa...

MBINU ZILE ZILE, MALENGO YALE YALE SIMBA WAWINDA TAJI

0
UONGOZI wa klabu ya Simba, kupitia mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Swed Mkwabi, umeweka wazi kuwa maandalizi ya timu hiyo kuelekea fainali ya Kombe...

KUMECHAFUKA BOSI WA MAREFA NJE VAR IKICHEZEWA

0
MILAN, ITALIA: WAKATI mwamuzi mwamuzi wa zamani, Gianluca Rocchi, akijisimamisha kwa hiari kutoka nafasi yake ya bosi wa waamuzi nchini Italia kufuatia uchunguzi unaoripotiwa...

YANGA YAJA NA MBINU MPYA, SIMBA PABAYA FAINALI YA MUUNGANO

0
NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto, amefichua mbinu wanazopewa na kocha wao, Pedro Goncalves, kuelekea mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano dhidi ya Simba. Fainali...