Home Tags Habari za Michezo Bongo. Habari za Michezo leo

Tag: Habari za Michezo Bongo. Habari za Michezo leo

Habari za Yanga

YANGA TIMU YA KWANZA KULETA KOMBE LA CAF…”WANANCHI MSIHOFU TUNABEBA…HAKUNA WA...

0
"Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani...

SIMBA SC YAFANYA KUFURU…WINGA MATATA WA KIMATAIFA…USAJILI WA KUTISHA MAPEMAA

0
Simba mapema tu wamepiga hesabu za kukiboresha kikosi hicho na imebainika ni kuwa wameanza mazungumzo na winga matata wa As Vita, Eric Kabwe kwa...

ZIZO NA SHALULILE WANYONGE TU…CHAMA “MWAMBA WA LUSAKA” BABA LAO…CAF IMETHIBITISHA

0
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora Wiki ya raundi ya nne ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa...

YANGA INAGAWA DOZI NYUMBANI NA UGENINI…GARI LIMEWAKA JANGWANI…MNYAMA HAFUI DAFU

0
Michezo Ligi kuu soka Tanzania Bara ikiwa ipo raundi ya 25 na imesalia michezo 5 kabla ya kumalizika kwa msimu, takwimu zinaonyesha Klabu ya...

VUTA NIKUVUTE USAJILI…AL HILAL YAWAMWAGIA MPUNGA YANGA… “HATUUZI MCHEZAJI HATUNA NJAA

0
Imeelezwa kuwa klabu ya Al Hilal ya Sudan inayofundishwa na kocha mwenye jina kubwa Afrika, Florent Ibenge inaangalia uwezekano wa kuipata saini ya mshambuliaji...

MAAFANDE WATEMBEZA KIPIGO…WANYEMELEA LIGI KUU…KITUO KINACHOFUATA PAMBA FC

0
Huko Championship Maafande wa JKT Tanzania wanazidi kufanya yao kuhakikisha msimu ujao wanacheza Ligi Kuu baada ya kuendeleza vichapo kwenye ligi hiyo. JKT Tanzania sasa...

YANGA IMEUPIGA MWINGI…IMEMSAJILI FUNDI MALI….WAMALIZANA NAYE HOSPITALI

0
Klabu ya Yanga inaripotiwa kuwa imeshafunga hesabu za kumsajili fundi wa Singida Big Stars, Bruno Gomez kama mambo yataenda kama yalivyopangwa, ataonekana katika jezi...

SIMBA KUINGIZA MIL 2.2 KILA SEKUNDE 60…MO DEWJI AFANYA MAAJABU YAKE…JASHO...

0
DOKEZO: Tajiri kaweka milioni 200 mezani ambazo kwa hesabu ya kawaida ndani ya dakika 90 kwenye kila dakika watakayokuwa uwanjani watalipwa Milioni 2.2. Hapo...

MCHAMBUZI WA SOKA….SIO JAMBO LA KUSHANGAZA…TSHABALALA KUACHWA TAIFA STARS

0
Machi 13 Kikosi cha Wachezaji 31 cha Timu ya Taifa kilitangazwa kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Timu ya...

FEISAL SALUM “FEI TOTO” ALIKUWA NA STRESS…MGOGORO NA YANGA WAMSUMBUA…AITWA STARS...

0
Wakati mjadala ukizidi kupamba moto kutokana na kujumuishwa katika kikosi cha Timu ya Taifa Kiungo wa Yanga, Feisal Salum "Fei Toto" wakati amekaa nje...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS