Tag: soka la bongo
ROBERTINHO AMTAJA STAA HUYU KUWA NDIO KARATA YAKE KIKOSINI SIMBA
Kocha wa Simba, Oliviera Robertinho amesema moja ya silaha muhimu alizonazo kwenye kikosi chake ni Kibu Denis ambapo anaweza kumbadilisha kumpa jukumu lolote gumu...
HAO YANGA vs SINGIDA VIKOSI VYAO LEO SIO POA
Kwa vikosi na takwimu zilivyo leo lazima mtu aseme sana kwenye Uwanja wa Mkapa, Yanga itakavyowakabisha Singida kwenye mechi ya Ligi. Dakika 90 za...
BANGALA AMKINGIA KIFUA FEI TOTO
Kiungo wa Azam Yannick Bangala amefurahishwa na kiwango cha Feisal Salum ‘Fei Toto’ akisema jamaa ameanza kuwa mtamu huku akimpa ushauri juu ya mashabiki...
YANGA SASA WAWATAMANI AL AHLY BAADA YA SIMBA KUSHINDWA KUTAMBA
UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa, umetumia mchezo wa Simba kuwasoma wapinzani wao, Al Ahly ambao watakutana katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu...
DUKE ABUYA AIPIGA MKWARA YANGA
Nyota wa Singida Big Stars, Duke Abuya amesema ni muda kwao wa kuonyesha ubora wao mbele ya Yanga kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
“Kila...
UONGOZI YANGA WAKAA KIKAO AJENDA KUU NI UBINGWA TU
Oktoba 25 Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng Hersi Said imekaa kikao cha pili cha kikatiba kwa mwaka 2023 kujadili mambo...
KWA UPANDE HUU SIMBA PASUA KICHWA
Katika mechi tano mfululizo walizocheza Simba hawajaambulia clean sheet, (kucheza bila kuruhusu bao) zaidi ya kutunguliwa mabao sita.
Makosa yapo katika eneo la kiungo anapocheza...
KIKOSI CHA YANGA KIPO TAYARI KWA AJILI YA SINGIDA GAMONDI ATIA...
Kocha mkuu wa kikosi cha Yanga SC, Miguel Gamondi, amezungumzia mchezo wa kesho Ijumaa wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate.
Mchezo...
MAJANGA MKUDE AMFUNGULIA MASHTAKA MO DEWJI ADAI FIDIA KISA HIKI HAPA
Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited...
ALIYELETA JEZI FEKI SIMBA, YANGA KUANIKWA HADHARANI LEO
Mzabuni wa jezi za Klabu ya Simba na Mfanyabiashara mkubwa wa Maduka ya Nguo @sandalandtheon1 leo atamuanika kwa jina aliyeleta jezi feki na kuzisambaza...