Home Tags Soka la bongo

Tag: soka la bongo

YANGA YAWEKA REKODI HII YA KIPEKEE LIGI KUU

0
Timu Tisa zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2023/24 ambazo ni; Tanzania Prisons Coastal Union Kagera sugar JKT Tanzania Namungo Ihefu, Singida Big stars Geita Gold Timuzote hizo pamoja zimefunga mabao...

AHAMED ALLY AJA NA JIPYA KUHUSU KRAMO, ISHU IKO HIVI

0
Nyota mpya wa Simba SC, Aubin Kramo yupo nchini na hajaenda kutibiwa nchini kwao kama ilivyoripotiwa awali. Akizungumzia hali yake, Meneja wa Habari na Mawasiliano...

SIMBA HAWAPOI MAWINDO YANAENDELEA SASA WAHAMIA HUKU

0
Baada ya kupata ushindi mnono dhidi ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC, Wekundu wa Msimbazi Simba SC akili yao wanaielekeza...

MCHAWI WA SIMBA APATIKANA

0
Mashabiki wa Simba na viongozi wakati huu kila mmoja anatafuta mchawi katika kikosi kutokana na kuruhusu mabao manne katika mechi tano ilizocheza. Simba imecheza mechi...

BOLI LIMERUDI, MUDATHIR ANABALAA

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

HAKIKISHA JINA LINATOKA BALEKE

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

UPDATE : INONGA HAJAVUNJIKA HALI YAKE IKO HIVI

0
Taarifa mpya kutoka ndani ya Simba SC ni kwamba beki wao Henock Inonga anaendelea vizuri na kwamba hajavunjika. Inonga aliumia kwenye mchezo dhidi ya Coastal...

INONGA HALI TETE AKIMBIZWA HOSPITALI

0
Beki kisiki wa Simba SC, Henock Inonga amejikuta akikimbizwa hospitali baada ya kupata majeraha wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union inayoendelea leo Septemba...

KWA HILI GAMONDI AMPE HEKO KAZE

0
Ilikuwa mechi nzuri ya Ligi Kuu ya NBC, Yanga dhidi ya Namungo huku Yanga akishinda mchezo wa tatu mfululizo na kushinda mechi zote na...

BALEKE ATOA AHADI HII LEO DHIDI YA COASTAL UNION…

0
Straika wa Simba SC, Jean Baleke amesema leo, watawashushia mvua ya magoli Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Simba SC anashuka dimbani...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS