Tag: yangasc
YANGA YAPEWA SIKU 45 NA FIFA…YATAKIWA KULIPA DENI…ITAFUNGIWA USAJILI MISIMU MITATU
Aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa timu hiyo haijafungiwa kusajili madirisha matatu na Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA) kwa...
YANGA:- WAACHENI WAARABU WAJE WANATAKA DAWA…HIVI WALITUFUNGAJE? WALIBAHATISHA…MASHABIKI NJOONI NA SANDA
Uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa Waarabu watwaambia waliwafungaje kwenye mchezo uliopita kutokana na mipango kazi inayoendelea ndani ya timu hiyo.
Yanga inayonolewa na Kocha...
TIKETI MECHI YA YOUNG AFRICAN(YANGA) VS US MONASTIR…FULL HOUSE FULL SHANGWE…MWANANCHI...
YOUNG AFRICAN(YANGA) VS US MONASTIR CAF CONFEDERATION CUP
TAREHE 19.03.2023
SAA 01:00 USIKU | UWANJA WA BENJAMIN MKAPA TIKETI ZINAPATIKANA MADUKA YA TTCL NCHI NZIMA
TTCL NYERERE...
MWAMUZI MECHI YA YANGA VS US MONASTIR…WANANCHI WAMEPATA ZALI KWA REFA...
Wakati Yanga wakijiandaa kuivaa US Monastir Kwa Mkapa wikiendi hii, huyu ndio mwamuzi atakaeamua hatima yao siku ya Jumapili.
Kwa upande wa Yanga watachezeshwa na...
MOLOKO AMGOMEA KOCHA NABI…”NAHITAJI KUTUMIKA ZAIDI…SITOKUBALI HADI MWISHO
KOCHA wa Yanga, Nasreddine Nabi anapiga hesabu kali za kuhakikisha mastaa wa kikosi chake wanapata muda wa kupumzika pindi wanapotumika sana, ila yupo mmoja...
YANGA ILITUPIGA KIPIGO CHA MBWA KOKO…WANGETUONEA HURUMA TU…SISI HATUPO LIGI YA...
BAADA ya Geita Gold kuambulia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Yanga ,Mkurugenzi wa Geita Gold Zahar Michuzi amefunguka na kusema kuwa Yanga waliwapangia...
GOLIKIPA YANGA ATIMKIA KENYA…ATAMBULISHWA KIBABE…AKABIDHIWA JEZI SHANGWE TU
Golikipa wa zamani wa Yanga SC, KMC na Mtibwa Sugar SC, Farouk Shikalo amejiunga na klabu ya Kakamega Homeboyz ya nchini Kenya.
Shikalo alikuwa mchezaji...
SIMBA YATOA TIKETI ZA KITIONGA…TANZANIA YAPANDA VIWANGO…YANGA YAAMBULIA POINTI 1
SIMBA imeshaipa neema Tanzania baada ya kuingiza timu nne kwenye mashindano ya klabu Afrika msimu huu na msimu ujao kwa mara ya tatu mfululizo.
Kitendo cha...
MAGAZETI LEO: MASTAA SIMBA SC WAPEWA ONYO CAF…MUSONDA AWAAPIA KUWAANGAMIZA WAARABU…KIUNGO...
Good Morning Mwanamichezo mwenzangu Leo March 16, 2023.
Nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya leo Tanzania
YANGA TIMU YA KWANZA KULETA KOMBE LA CAF…”WANANCHI MSIHOFU TUNABEBA…HAKUNA WA...
"Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani...