UONGOZI wa Azam FC umesema kwa sasa unazipigia hesabu pointi tatu za Mwadui FC ya Shinyanga.
Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba iliifunga Yanga bao 1-0 Uwanja wa Taifa juzi, ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi zake 32 baada ya kucheza mechi 15.
Jana Azam FC ilianza mazoezi rasmi kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januari, 22 Uwanja wa Kambarage, Shinyanga.
Ofisa Habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema kuwa wachezaji wapo vizuri wana imani watapata pointi tatu kwenye mchezo huo.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.