Home Uncategorized SIMBA YATINGA BUNGENI LEO, SPIKA AZINDUA KADI ZA MASHABIKI

SIMBA YATINGA BUNGENI LEO, SPIKA AZINDUA KADI ZA MASHABIKI

UONGOZI wa Simba leo ukiongozwa na Mtendaji Mkuu, Senzo Mbatha, leoumeytia timu Bungeni, Dodoma.

Simba ipo kwenye mchakato wa kuzindua matumizi ya kadi za mashabiki.

Saa 4 asubuhi walikuwa kwenye tawi la benki ya Equity Uhindini katika uzinduzi wa Kadi za Mashabiki Kanda ya Kati ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai.

SOMA NA HII  KUWAONA STARS WAKIMENYANA NA BURUNDI BUKU TATU TU