UONGOZI wa Simba leo ukiongozwa na Mtendaji Mkuu, Senzo Mbatha, leoumeytia timu Bungeni, Dodoma.
Simba ipo kwenye mchakato wa kuzindua matumizi ya kadi za mashabiki.
Saa 4 asubuhi walikuwa kwenye tawi la benki ya Equity Uhindini katika uzinduzi wa Kadi za Mashabiki Kanda ya Kati ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.