Home Uncategorized JIANGSU SUNING INAHAHA KUIPATA SAINI YA BALE ILI KUMPELEKA CHINA

JIANGSU SUNING INAHAHA KUIPATA SAINI YA BALE ILI KUMPELEKA CHINA


IMEELEZWA kuwa mabosi wa Real Madrid wapo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la nyota wao Gareth Bale ili akajiunge na timu moja ya nchini China.

Jiangsu Suning inayoshiriki Super Ligi ya nchini China inahitaji saini ya mchezaji huyo.

Bale alijiunga na Real Madrid mwaka 2013 akitokea Tottenham Hotspurs kwa rekodi ya ada ya pauni milioni 83.7 imevuja kwamba anaweza kuondoka muda wowote.

SOMA NA HII  ARSENAL IKIPATA OFA NONO YA AUBA INAFANYA BIASHARA