Kipindi cha kwanza:Yanga 0-0 Mbeya City
Uwanja wa Taifa
Ligi Kuu Bara
Yanga leo imeikaribisha Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaochezwa Uwanja wa Taifa.
Yanga inakumbukumbu ya kushinda bao 1-0 mbele ya Ruvu Shooting na Mbeya City ilishinda bao 1-0 mbele ya Tanzania Prisons.
Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kutoa sapoti kwa timu zao.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.