UONGOZI wa Simba umesema kuwa unazitaka pointi tatu za Azam FC ilikuendelea mbio zake za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Simba inaongoza ligi ikiwa na pointi 65 kesho itakutana na Azam FC kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa Taifa, Machi 4.
“Wachezaji wanajua kwamba muda wa mchezo ni lazima kila timu iwe sawa na ifanye kle ambacho wanaelezwa ila kwa sasa kila kitu kinakweda sawa,” amesema.
Mchezo wa kwanza uliochezwa hapahapa Dar, Yanga ililazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 mbele ya Simba.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.