Home Uncategorized HIZI HAPA 14 KUMENYANA KUSAKA POINTI TATU

HIZI HAPA 14 KUMENYANA KUSAKA POINTI TATU


LEO Juni, 27 mambo timu 14 zitakuwa kwenye viwanja saba tofauti kusaka pointi tatu muhimu.

Mtifuano mkubwa leo utakuwa namna hii :-

 Ruvu Shooting v Namungo, Uwanja wa Mabatini.

Yanga v Ndanda, Uwanja wa Taifa.

Alliance v Coastal union, Uwanja wa Nyamagana .

Mwadui v Mtibwa Sugar, Uwanja wa Mwadui.

Biashara United v Azam FC, Uwanja wa Karume.

Mbeya City v JKT Tanzania, Uwanja wa Sokoine.


Kagera Sugar v KMC, Kaitaba.

Mechi zote zinachezwa saa 10:00 jioni.

SOMA NA HII  MABEKI HAWA CHIPUKIZI WAPELEKWA DARASANI NA KIRAKA ERASTO NYONI