Dakika ya 48 Kaseke Goooool
Dakika ya 47 Yanga wanaanzisha mashambulizi kwenda kwa kissu
Novemba 25
Ligi Kuu Bara
Azam FC 0-0 Yanga
Mapumziko
Zinaongezwa dakika 3
Dakika 43 Kissu anafanya save
Dakika ya 37 Yacouba anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 34 Djod anaonyeshwa kadi ya njano.
Dakika ya 27 Mnata anaokoa hatari
Dakika ya 26 Yassin anacheza faulo
Dakika ya 24 Prince Dube anafanyiwa mabadiliko ya lazima anaingia Djod
Dakika ya 23 Yacouba anaotea
Dakika ya 19 Lamine anaokoa hatari
Dakika ya 16 Dube anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 10 Azam wanapeleka mashambulizi kwa Mnata
Dakika ya 9 Nondo anaanua majalo
Dakika ya 8 Mudhathir anapaisha
Dakika ya 7 Dube anachezewa faulo
Dakika ya 6 Kissu anaokoa hatari
Dakika ya 5 Nchimbi anasababisha kona haizai matunda
Dakika ya 4 Mustapha Yassin anafanya jaribio