Home Habari za Simba Leo SIFA ZA MCHEZAJI MPYA WA SIMBA ELLIE MPANZU

SIFA ZA MCHEZAJI MPYA WA SIMBA ELLIE MPANZU

Simba SC

Nilishuhudia mechi chache za AS Vita msimu uliopita akiwepo Elie Mpanzu, sio sababu yoyote kwanini asiwe tatizo / hatari kwa wapinzani katika michuano ya ndani hadi nje, anasaidia kuboresha / vitu vingi kwa timu yako ( Simba ) / winga yako

  1.   Mchezaji ambaye amebarikiwa sana ufundi miguuni ( zile touch zake, one touch football na ile combination play , kwa maana anakupa leseni ya kucheza eneo finyu na kushinda mipambano )

  2.   Mchezaji ambaye anacheza huku macho yanaangalia juu ( sio yule mchezaji ambaye anafanya runs zake / kusprint akiwa macho sini muda mwingi ) , kitendo hicho kinamfanya aweze kuziona pasi na kuzipiga, gifted player.

  3.   Kasi nzuri inahitajika kwa Mshambuliaji wa pembeni na kuingia ndani ( yani yupo explosive mithiri ya Vini Jr, Rashy , Saka, Dembele na Diaz ) , kwa maana inampa leseni ya kufika katika actions / mpinzani kwa nyakati sahihi.

  4. He can score goals and create them ( anajua kutengeneza nafasi za mabao, na mmaliziaji mzuri tu, yes he can see a pass, keep the ball )

Baada ya kusema haya niseme Elie Mpanzu atakuwa na nafasi kubwa ya kuwapa balance nzuri sana Lunyasi kwa kutawala eneo la pembeni, yani huyu Winga ni silaha kubwa uwanjani.

SOMA NA HII  KANOUTE AZIDI KUSHIKILIA MSIMAMO...SIMBA KUFANYA KIKAO KIZITO