admin
NAMUNGO FC YAFANYA BIASHARA NA BAROLA WA BIASHARA UNITED
NURDINE Barola aliyekuwa mlinda mlango wa kikosi cha Biashara United amesajiliwa na timu ya Namungo FC kwa kandarasi ya mwaka mmoja.Barola alifanya kazi na...
BEKI YANGA KUTIMKIA LIPULI FC
ANDREW Vincent 'Dante' beki wa Yanga anatajwa kujiunga na kikosi cha Lipuli chenye maskani yake mkoani Iringa.Habari zinaeleza kuwa sababu kubwa ya nyota huyo...
SIMBA KUENDELEA KUTESTI MITAMBO AFRIKA KUSINI
Baada ya Simba jana kushinda mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Orbert TVET leo wanacheza mchezo wa...
RUVU SHOOTING YAINGIA KAMBINI KUJIWINDA NA LIGI KUU BARA
UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa tayari timu imeingia kambni kwa ajili ya kujiaanda na maandalizi ya msimu ujao unaotarajiwa kuanza Agosti 23.Makamu Mwenyekiti...
MBAO YATAJA SABABU YA KUFANYA KLINIKI KUSAKA WACHEZAJI
UONGOZI wa Mbao umesema kuwa sababu kubwa ya kufanya kliniki ya kusaka wachezaji ni kutoa fursa kwa wachezaji wanaoipenda Mbao kuitumikia.Mbao FC iliyo chini...
YANGA WATAJA SIKU YA KUREJEA ZAHERA BONGO
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa, Kocha Mkuu Mwinyi Zahera anatarajiwa kujiunga na timu muda wowote kambini Morogoro, kuanzia sasa.Mratibu wa Yanga, Hafidh Saleh amesema...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbel Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
LIVERPOOL: TUNAJIPANGA KWA AJILI YA MSIMU UJAO
JURGEN Klopp, Meneja wa Liverpool amesema kuwa msimu ujao utakuwa mgumu kwa timu zote kutokana kila mmoja kujipanga.Klopp amesema kuwa msimu uliopita alikwama kubeba...
KMC YACHEKELEA KUTUPWA RWANDA KIMATAIFA
UONGOZI wa KMC umesema kuwa ushiriki wao wa michuano ya Kagame umewajenga hivyo wamepata uzoefu wa kutosha kwenye michuano ya kimataifa.KMC ilialikwa kwenye michuano...
MANCHESTER CITY: HATUJAPATA OFA YA BAYERN MUNICH KUMTAKA SANE
PEP Guardiola, Meneja wa Manchester City amesema kuwa hajapata ofa yoyote kutoka kwa Bayern Munich ikimhitaji mchezaji wao Leroy Sane.Munich imeelezwa kuwa inahitaji saini...