Home Authors Posts by admin

admin

23974 POSTS 9 COMMENTS

Yanga sio ‘viti maalumu’, lakini Simba…

0
Baada ya taarifa kutoka na kuonyesha kuwa sasa Tanzania itakuwa na timu nne katika mashindano ya CAF, tambwe nyingi zimeenea hadi kupelekea...

RAMADHAN KABWILI BADO HAKIJAELEWEKA YANGA, APATA DILI NJE

0
MLINDA mlango wa Yanga Ramadhani Kabwili amesema bado hawajafikia muafaka na mabosi wa timu moja nchini Sudan.Akizungumza na Championi Jumatano, Kabwili alisema; “Mkataba wangu...

POLISI TANZANIA YAPANIA KUPAMBANA TPL

0
UONGOZI wa kikosi cha Polisi Tanzania umesema kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kujipanga kisawasawa kwa ajili ya msimu wao wa kwanza ndani ya...

AZAM FC: HATUJABAHATISHA KUTWAA FA, TULIJIPANGA KIUKWELI

0
KOCHA wa Azam  FC Idd Cheche amesema kuwa haikuwa bahati mbaya wao kutwaa ubingwa wa kombe la Shirikisho mbele ya Lipuli mchezo uliochezwa uwanja...

TFF YAFAFANUA SABABU YA KMC KUPENYA KIMATAIFA

0
BAADA ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kuongeza nafasi mbili kwa nchi ya Tanzania kushiriki michuano ya kimataifa kwa msimu wa mwaka 2019/20 na...

UONGOZI SIMBA WATOA TAMKO JUU YA YANGA KUWA MOJA YA TIMU...

0
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi katika klabu ya Simba, Salim Abdallah 'Tyry Again' amesema ni faraja kubwa kwa Tanzania kupata timu nne zitakazoshiriki mashindano...

HAJI MANARA AWACHANA YANGA, ASEMA SIMBA NDIYO IMEWAPELEKA CAF CHAMPIONS LEAGUE

0
Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, kuhusiana na kutoka kwa nafasi nne kwa timu za Tanzania kushiriki mashindano ya kimataifa Nafasi hizo zimetolewa...

MAVUGO NA YANGA MAMBO SAAAAAFII

0
IMEFAHAMIKA kuwa mabosi wa Yanga wapo kwenye mazungumzo ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Napsa Stars FC ya nchini Zambia, Laudit Mavugo...

SALAMBA AAMUA KUFUNGUKA, ATOA MSIMAMO WAKE SIMBA

0
Mshambuliaji wa Simba, Adam Salamba atabakia klabuni hapo kwa msimu ujao endapo kocha wake Patrick Aussems atamhitaji. Ingawa kwa hali ilivyo ni asilimia ndogo.Salamba...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS