KOCHA YANGA ASHINDWA KUJIZUIA, ATOA TAMKO JUU YA WABRAZIL SIMBA

0

Kocha wa timu ya wanawake ya Yanga, Mohamed Hussein ‘Mmachinga’, amesema kuwa wachezaji wote wa kigeni ambao wamesajiliwa na Simba, wataibeba timu hiyo kimataifa ila ndani ya Ligi Kuu Bara itakuwa pasua kichwa.Kwa sasa tayari Simba imemalizana na wachezaji wanne wa kigeni ambao wana uhakika wa kuonyesha makeke yao msimu ujao ikiwa ni pamoja na Wilker Henrique da Silva,...

MARKO ARNAUTOVI ATAKA KUSEPA WESTHAM NA KUTIMKIA CHINA

0

MARKO Arnautovic  anahitaji kuiacha timu yake ya West Ham ili kujiunga na ligi ya China licha ya timu nyingi zinazoshiriki Ligi Kuu ya England kuhitaji saini yake. Mshambuliaji huyo mwenye miaka 30 raia wa ambaye anawakilishwa na kaka yake Daniejel bdo hajapewa barua ya uhamisho kutoka timu yake ya wagonga nyundoHata hivyo bado anaamini kwamba kabla ya dirisha la usajili...

AGREY MORIS KUKAA NJE YA UWANJA MIEZI MIWILI

0

 AGREY Moris, nahodha wa klabu ya Azam FC anatarajia kuwa nje uwanja kwa muda wa miezi miwili baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti nchini Misri juzi.Moris aliumia kwenye mchezo wa kirafiki wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Misri wakati ikijiandaa na michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) inayoendelea kutimua vumbi nchini Misri.Kwa mujibu wa ripoti...

NINJA WA YANGA ATIMKIA KUKIPIGA MAREKANI

0

Abdalah Shaibu ‘Ninja’ amesaini kandarasi ya miaka minne akitokea timu ya Yanga kuitumikia timu ya MKF Vyskov ya Jamhuri ya Czech.Timu hiyo imemtoa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani maarufu kama Major League.

MAMA KANUMBA: BABA KANUMBA ALIKUWA MCHEPUKO WANGU TU! – VIDEO

0

MAMA wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mtegoa, amesema hakuwahi kuolewa na baba wa mtoto wake huyo (mzee Charles Kanumba) badala yake alikuwa mchepuko wake tu kwani tayari baba huyo alikuwa na mkewe na watoto.Bi. Flora amesema hayo jana Jumatatu wakati akipiga stori ndani ya kipindi cha Kata Mbuga cha +255 Global Radio na...

OKWI ATAKA 115M KWA MWAKA SIMBA

0

STRAIKA wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi ameyaamsha tena mambo ndani ya klabu yake hiyo baada ya kuwaambia viongozi kwamba kama wanataka asalie klabuni hapo, basi wamuwekee benki kitita cha Sh milioni 115 kwa mkataba wa mwaka mmoja.Okwi aliye nchini Misri kwenye Kombe la Mataifa Afrika (Afcon), amemaliza mkataba na Simba ambapo wanavutana na uongozi wa klabu hiyo juu ya...

SIMBA YAMALIZANA NA KIFAA KUTOKA TP MAZEMBE, KILIWAHI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA

0

Kazi ya kusajili wakali watakaohakikisha kikosi cha Mabingwa kinazidi kuwa tishio kwa wapinzani inaendelea.Mshambuliaji raia wa Congo DR, Deo Kanda (29) amejiunga na Mabingwa wa nchi Simba SC. Kanda amesaini mkataba wa mwaka mmoja kukipiga Msimbazi akitokea TP Mazembe ambapo alikuwa mmoja wa wachezaji ambao waliiwezesha kushinda Ubingwa wa Afrika mwaka 2009, 2010 (aliifungia goli kwenye mchezo wa fainali dhidi...

AMUNIKE AENDELEZA DHARAU, ASISITIZA HANA CHA KULAUMIWA

0

Na Saleh Ally, CairoKOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike ameendelea kusisitiza kwamba yeye hana cha kulaumiwa.Amunike amesema mara baada ya Stars kupoteza mchezo wake wa mwisho katika michuano Afcon.Taifa Stars ilifungwa mechi zote tatu za michuano hiyo kwa kukubali mabao nane katika mechi tatu huku ikifunga mawili.Baada ya mechi ya mwisho baada ya Stars kulala kwa mabao 3-0...

WAKATI UMEFIKA TUMEACHE AMUNIKE AENDE ZAKE SALAMA, TUSONGE

0

NA SALEH ALLYMIAKA 39 michuano ya Kombe la Mataifa Afrika maarufu kama Afcon kwetu ilikuwa ni hadithi. Safari hii timu yetu ipo hapa jijini Cairo nchini Misri na leo itashuka kucheza mechi yake ya mwisho ya hatua ya makundi.Suala la kusonga mbele katika hatua ya mtoano linabaki kuwa majaaliwa. Lakini uhalisia ni hivi, timu inashiriki michuano hiyo.Kwa miaka 39, Tanzania...