SEPETU: WACHEZAJI WALITUANGUSHA AFCON, LEO HAPANA, MASHABIKI TUJITOKEZE
WEMA Sepetu, shabiki mkubwa wa timu ya Taifa ya Tanzania na mjumbe wa kamati ya uhamasishaji wa timu ya Taifa amewaomba watanzania kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo wa leo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania na Kenya huku akiwataka wachezaji wasiliangushe Taifa.Sepetu amesema kuwa alipata furaha kubwa timu ilipofuzu michuano ya Afcon ila iliyeyuka kama barafu baada ya...
SIMBA YAWEKA MEZANI MILIONI 10 KWA AJILI YA KELVIN YONDAN, METACHA MNATA, JUMA KASEJA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa endapo timu ya Taifa ya Tanzania itaibuka kidedea mbele ya timu ya Kenya leo watapewa zawadi ya milioni 10.Zawadi hizo zitakuwa ni kwa timu nzima kwa ajili ya pongezi ambayo imelenga kuwapa morali wachezaji hao ili kupata matokeo chanya kwenye mchezo wa leo wa kufuzu Chan utakaochezwa uwanja wa Taifa.Kupita kwenye ukurasa wa Instagram...
JUMA BALINYA, SIBOMANA NA KIPA WA KENYA KUTOA ZAWADI YA NGUVU LEO MOROGORO
NYOTA wote wakali ndani ya Yanga leo kuonyesha maajabu bure uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye mchezo wa kukata na shoka wa kirafiki kati ya Yanga na Mawenzi Market.Mchezo huu wa kipekee ambao ni maalumu kwa ajili ya maandalizi ya ligi msimu ujao utashuhudia mambo mengi ikiwa ni pamoja na zawadi za kutoksha kutoka kwa waandaaji ambao ni Faith Baptist...
NAHODHA STARS: TUNAPENYA LEO MBELE YA KENYA, MASHABIKI MTUPE SAPOTI
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa leo watapambana kuipeperusha Bendera ya Taifa mbele ya Kenya ili kupata matokeo chanya.Taifa Stas leo inakibarua mbele ya timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' kwenye mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Chan itakayofanyika nchini Cameroon mwaka 2020 utakaochezwa uwanja wa Taifa.Bocco amesema:" Wachezaji wote tupo...
YANGA YATAKA MAJEMBE HAYA MAWILI, MMOJA KUMCHOMOA KUTOKA SIMBA
UONGOZI WA Yanga umesema kuwa bado upo sokoni kusaka majembe mengine makali kwa ajili ya msimu ujao.Dirisha la usajili linafungwa Julai 31 na Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) kupitia kwa Ofisa Habari Clifford Ndimbo amesema kuwa hakutakuwa na muda wa nyongeza.Kaimu Katibu wa Yanga, Dismas Ten amesema kuwa kuna nafasi mbili kwa sasa zimebaki kwa ajili ya kusajili."Bado usajili haujafungwa...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili
STAA MPYA YANGA YAMKUTA MAKUBWA, ISHU YA SAUZI IPO LAIVU NI KESHO NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI
KESHO Gazeti la Spoti Xtra Jumapili limesheheni Habari kamili kuhusu kambi ya Yanga Moro pamoja na ile ya Simba Sauzi
KUMEKUCHA SIMBA, MO AMALIZA UTATA MAZIMA
KAULI ya Mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji leo imetoa ile hofu ya mashabiki kuhusu hatma yake ndani ya Simba.Baada ya Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dr.Harrison Mwakyembe kuzungumza juu ya umiliki wa timu kuhusisha wawekezaji zaidi ya watatu lilizua maswali mengi huku mashabiki wakihoji hatma ya Mo bila kupata majibu.Hivyo leo Mo kupitia ukurasa wake wa Instagram...
SIBOMANA WA YANGA APANIA MAKUBWA
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, aliyetupia tatu dhidi ya Moro Academy , Patrick Sibomana, amewaambia mashabiki kwamba ndiyo zake wala hakubahatisha wazisubiri nyingi Uwanja wa Taifa.Amesisitiza kwamba, hata Township Rollers lazima wawapige si chini mabao matatu na kuendelea pale Taifa ili kuthibitisha kwamba wamerudi vizuri kimataifa.Yanga ambao imefanya usajili wa aina yake msimu huu, itacheza na timu hiyo kwenye mechi...
HAWA NDIO WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA
TOWNSHIP Rollers ni wapinzani wa Yanga kimataifa kwenye mchezo wa awali wa Ligi ya mabingwa unaotarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 9-11 nchini Botswana na ule wa marudio kati ya Agosti 23-25.Township ni mabingwa mara nne mfululizo wa Ligi ya Botswana tangu 2015/16 hadi 2018/19 itamenyana na Yanga ambayo haijafanikiwa kutwaa taji mara mbili mfululizo na mara ya mwisho kutwaa...